HakinaAmani
Member
- Dec 20, 2012
- 37
- 6
Aluta continua kamanda Lema Mola yupo upande wako...........freedom is coming
Nadhani nilizungumza hili toka jana,sasa waliokuwa na imani na kauli yangu walianza kula kuku(si bata mana bata ni mchafu).Nimeanza kusherehekea ushindi wa lema toka leo. Watakao ungana na mimi,wani inbox,nitalewa zaidi ya daimond
Hukumu ya rufaa yako ya kupinga kuvuliwa Ubunge ni kesho pale Mahakama ya Rufani ya Tanzania. Wewe ni Kamanda makini,mjenzi wa hoja,mpambanaji,mpigania chama,huna makundi,huongozi kakikundi cha wasaliti,hukeshi mitandaoni ila mikutanoni kwenye M4C pamoja na Makamanda wengine wa jeshi la ukombozi la CHADEMA.
Kesho utaandika historia.Utaionja ladha ya haki.Kwa lolote liwalo,tupo pamoja nawe. Kesho,utauvaa utu upya. Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani watakuwa mboni ya haki yako kesho. Tunaombea waseme kama hivi " In the premises, we allow this appeal with costs...."
Ubarikiwe Kamanda Godbless Lema!
Anakuja kutuletea fujo tu Arusha kulikuwa na amani muda ambao hukuwepo sasa tumerudi kulele.
Lema ,
Boneka waitu akakubi ka X- mas no mwaka oguya. Ebiro bikyaliyo:
obanze okalise kagile ebishaju.
mkuu hii lugha ya kihaya umejifunza wapi?