Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 4,600
- 7,908
😃😃😃😃🤳🤳Muarabu IN, mweusi out
Usikariri, al ahly ni timu ya makombe, hivyo ni mzoefu. Huyo mamelodi ana makombe mangapi mpaka sasa?
😃😃😃😃🤳🤳Muarabu IN, mweusi out
Usikariri, al ahly ni timu ya makombe, hivyo ni mzoefu. Huyo mamelodi ana makombe mangapi mpaka sasa?
Hawezi kurudi hapa huyo mwarabu wa BundaBado pyramid nae njia ni ileile out🤳🤳🤳😌✋✋✋
Muarabu kipensi😃😃Hawezi kurudi hapa huyo mwarabu wa Bunda
Anaugulia maumivu makali sanaMuarabu kipensi😃😃
Ngoja nimtagi aje hapa... 😃Anaugulia maumivu makali sana
Litakuwa kombe la uji mkuu.Muarabu IN, mweusi out
Usikariri, al ahly ni timu ya makombe, hivyo ni mzoefu. Huyo mamelodi ana makombe mangapi mpaka sasa?
🤣🤣
😂😂😂😂🤳 Muarabu wa nguruka umekimbiaAl ahly 1, na bado
Al ahly & Pyramids final
Hawa waarabu wafukuzwe africa wanatuharibia mashindano wawe wanashriki upande wa Asia
Bado pyramid nae njia ni ileile out🤳🤳🤳😌✋✋✋