Kila la heri kwenu Al ahly na Pyramids

Kila la heri kwenu Al ahly na Pyramids

Mamelod anashinda game mapema!

Pyramid anatolewa kwa tuta. Tutegemee fainal ya wasouth.🤳
 
Mamelod hanaga tofauti ya ugenini wala nyumbani kote anaubonda na muona Al Ahly still bado anaweka basi.
 
Mamelodi timu ya kipuuzi sana. Uwanjani kuna watazamaji wawili tu wana jezi zao, weusi wengine kama machinga tu wamewaokota barabarani. Yaani hawa ndiyo waifunge Al Ahly uwanja ukiwa umejaa hivi?
 
Mamelodi timu ya kipuuzi sana. Uwanjani kuna watazamaji wawili tu wana jezi zao, weusi wengine kama machinga tu wamewaokota barabarani. Yaani hawa ndiyo waifunge Al Ahly uwanja ukiwa umejaa hivi?
Timu zenu mbovu mbovu ndio hua zinahitaji hamasa za mashabiki
 

Attachments

  • IMG_20250425_195216.jpg
    IMG_20250425_195216.jpg
    118 KB · Views: 19
Mamelod hanaga tofauti ya ugenini wala nyumbani kote anaubonda na muona Al Ahly still bado anaweka basi.
Basi sawa, tunachoangalia ni uzoefu na ushindi, al ahly ni mzoefu, hatua kama hizi humtoi. Labda wafanye kama walivyofanya kwa yanga.
 
Waarabu leo kazi kwenu, pigeni hao waafrika weusi warudi kwao kwa makaburu, tena huyo Mamelodi nipigieni 3 zinatosha, kwanza alichotufanyia wananchi ile Penati hapana aise

Al ahly💪🏽
Pyramids 💪🏽

Kila la heri kwenu wenye makombe yenu
Una elements za ubaguzi flani hivi kulikua na haja gani ya kutaja races?
 
Mechi imeisha? Hizo ni ndoto mkuu. Mechi inaisha 1-1 muarabu out!!.

Muarabu IN, mweusi out

Usikariri, al ahly ni timu ya makombe, hivyo ni mzoefu. Huyo mamelodi ana makombe mangapi mpaka sasa?
 
Mamelodi timu ya kipuuzi sana. Uwanjani kuna watazamaji wawili tu wana jezi zao, weusi wengine kama machinga tu wamewaokota barabarani. Yaani hawa ndiyo waifunge Al Ahly uwanja ukiwa umejaa hivi?
Walipofungwa na pirate uwanja ulikuwa haujaja? Poor
 
Muarabu IN, mweusi out

Usikariri, al ahly ni timu ya makombe, hivyo ni mzoefu. Huyo mamelodi ana makombe mangapi mpaka sasa?
😃😃Opinion hizi... Kwamba madridi ilikuwa si timu ya makombe? Mimi na wewe nani amekariri?. Gori la ndondokera? Angalia takwimu za mechi afu tulia second half.
 
Kuna huyo mwamba jukwaani alionyesha dole la kati naona bado wana ujasiri wa kuendelea kumuonyesha. Ngoja aje awavulie nguo
 
Back
Top Bottom