Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,286
- 51,899
Kwanini sizikumbuki ndoto zangu?
Samahani kwa kuwa nje ya mada.
Samahani kwa kuwa nje ya mada.
Tunaota wakat wa around saa 8 had 12 na mida hiyo tunakuwa kwenye aina ya usingiz inaitwa Rapid Eye Movement,REM(aina nyingne ni non REM)Kwanini sizikumbuki ndoto zangu?
Samahani kwa kuwa nje ya mada.
Bado nashindwa kuona ni vip hapo nitamtoa nyani kwenye jamii ya watu kama hivyo ndivyo ntakavyo define human.Kama mnyama ataanza kuabudu kwa kweli hamna namna huyo ataingia kundi la ma sapiens.
Kuabudu kunahitaji hekima fulani ya juu, na uwezo wa kufanya imagination ulio mkubwa. Lakini pia reasoning ya hali ya juu ya kuungaunga vi fact vilivyopo hadi kudeduce uwepo wa Mungu.
Lakini haimtoi asiyeabudu ubinadamu wake, ni vile tu naye amededuce mambo kufikia conclusion zake kwa akili yake hiyo kubwa.
Either way, inabidi mtu/mnyama adisplay sifa zilizo sawa, au zinazokaribiana na level ya kuabudu ili kuprove u sapiens wake. Some form of transcendental knowledge sir
Ndio, nazikumbuka kidogo alfu zinapotea kabisaTunaota wakat wa around saa 8 had 12 na mida hiyo tunakuwa kwenye aina ya usingiz inaitwa Rapid Eye Movement,REM(aina nyingne ni non REM)
Wakati wa rem, cell znazokuwa kazini huzuia storage ya content zako kweny ubongo kwa muda mrefu.
Ndoto zako sio huzikumbuk bali huwa unazisahau haraka.
Nyani vitu anavytambua hekima alonayo inaishia kitu kinachoonekana mojakwamoja kwake mfano kijiti cha kuchokoa kichuguu mojakwamoja. Anatumia mikono na meno mojakwamoja.Bado nashindwa kuona ni vip hapo nitamtoa nyani kwenye jamii ya watu kama hivyo ndivyo ntakavyo define human.
Kama ambavyo hakuna mtu asiye amini pia hakuna asiye abudu.Ninaposema primates namaanisha hadi binadamu. Tupo wenye kuabudu vinavyoonekana na visivyoonekana na wasio abudu chochote pia wapo i.e hata chimpanzee ataingia kwenye sifa ya wanadamu kama utaangilia kigezo cha kuabudu.
Hakuna asiye abudu. Labda swali ni kwamba wana abudu nini.Wapo wasio abudu.
Utakaposoma kila mtu anaabudu kwa huo msingi unaenda nao jua kabsa ni sifa ambayo wanyama wengine wanayo. So that again wont define human uniquely.
Jibu hapa mleta madaLakini ungetusaidia kuwa ni mnyama yupi anaabudu.
Mnyama yupi ana lugha tata kama mwanadamu.
Kumbuka kuna hadi wanadamu wengine waliokuwapo enzi hizo, wasiokuwa na lugha walishaisha maana uwezo wao kuyakabili mazingira haukufikia uwezo waliokuwa nao kina sisi. Homo sapiens. Mbinadamu mwenye hekima - literal translation.
Naambiwa na nani?Mim naona kama umeleta theory nying sana. Sijajua una imani ipi. Ndio haya mambo ukisema dini unaanza kupapatuliwa oh zimeletwa na wàgeni.
Najua nikikuletea habar za islam hapa itakua kelele na zogo. Lakin islam as islam sijajua mifumo mingine
Islam kama mfumo wa maisha kwa maana ya kuji surrender kwa aliyeumba ulimwengu tiyari wameshaambiwa habar za ghaibu. (Habari ambazo kiakili ya kawaida kibinadamu huwezi kuthibitisha ima kukir au kukanusha) yapaswa uamin tu hayo mambo ya kujua elimu mfano umesema ya bahari kwa 5% mpaka 10 % tu na 90 yote iliyobak hatujui.
Kweny islam hio imeshaelezwa kwanza mungu kaumba viumbe tunavyovijua na tusivyovijua, ukubwa wa huko ulimwengu mwingine ni habari nyingine na naona inathibitishwa na hayo magalxy kwamba itachkua miaka mabilioni kuyafikia, Islam inaeleza katika wakati wa hukumu kuna mti kivuli chake kukimaliza kwa mwendo wa farasi mwenye nguvu bila kuchoka itamchkua mtu miaka 500 kukimaliza kivuli chake, ukubwa tu wa mbingu saba kwa moja ni sawa na ya kwanza chkua pete size 10 inayofata ni sawa na kudondosha kajipete yaani mbingu inayofata ni bigger than previous one.
Elimu ya mungu na ujuz wake kwetu sisi wanadamu waambiwa ni sawa na kutoa tone moja dogo sana tena baharini yale maji yanayobaki ndio elimu yake.
Wanadamu wapi hao mkuu. Na hata sisi wenye lugha tunaondoka pia, je tumekuwa illiteral beings?Lakini ungetusaidia kuwa ni mnyama yupi anaabudu.
Mnyama yupi ana lugha tata kama mwanadamu.
Kumbuka kuna hadi wanadamu wengine waliokuwapo enzi hizo, wasiokuwa na lugha walishaisha maana uwezo wao kuyakabili mazingira haukufikia uwezo waliokuwa nao kina sisi. Homo sapiens. Mbinadamu mwenye hekima - literal translation.