Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,679
- 4,417
Alichotaka ujibu ni ufanye utafiti uje na majibu ya 1. Mnyama gani mwingine anajulikana kuwa anaabudu.Wanadamu wapi hao mkuu. Na hata sisi wenye lugha tunaondoka pia, je tumekuwa illiteral beings?
And how does that make us human? I guess we will never know.
2. Mnyama yupi mwingine anatumia lugha tata ya symbols. Kumbuka wapo wanaotumia signs na milio
Hayo mawili yanahitaji uwezo mkubwa sana wa kufikiri na kuamua na kuchagua. Ama kiujumla tu HEKIMA. Sasa hekima kwa kiyunani sijui kigiriki ndiyo neno SAPIENS.
Sapiens ni zaidi ya elimu, ni zaidi ya ujuzi ni kitu fulani tata na 'abstract' kiasi ambacho unaweza kubisha kuwa hakipo, lakini kipo!. Nahisi kwa kisukuma hii ndiyo wanaita MASALA......... Uzuri ni kuwa sio vitu vya kuzaliwa navyo kiviillle, kuna kupewa na kuna kujifunza na kufunzwa yaani MASALA-KULANGWA!