Kila kitu sasa kiko ukutani

Kila kitu sasa kiko ukutani

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,931
Reaction score
7,828
Kila kitu sasa kiko ukutani kuhusu anguko la UKAWA. Kila chama mshirika kimesambaratika. Sio CHADEMA sio CUF wala NCCR mageuzi. Vyama vimevamiwa na mamluki waajiriwa wa tajiri anayedhani anaweza kununua urais wa Tanzania kwa hela yake. Baada ya usaliti wa viongozi wa CHADEMA wananchi wamegundua hila na mazingaombwe ya UKAWA wanangojea kutoa hukumu Oct 25 kwa kusema 'ndio' kwa Magufuli. Wasaliti sasa wanapigana vita gizani. Wanarusha ngumi bila kuona adui wanadundana ngumi wenyewe kwa menyewe. Kwenye mitandao ya kijamii wameishiwa hoja wanarusha magarasha tu.
 
Vipi ile timu ya ushindi iko wapi ???? Au mafungu yameisha!!!!?
 
Hivi ulishatoka Mirembe au bado unapata matibabu?

Pole sana...Utapona usijali.
 
UKAWA wapo pamoja than ever! Na sasa ushindi ni dhahiri. Magamba yanatapatapa kutafuta kila njia kutugawa lakini kila mbinu imegota. Hata vijijini sasa wanaimba Lowasa.Halafu faraja ni kuwa wengi wanaotuunga mkono wamejiandikisha kupiga kura!
 
Hivi ulishatoka Mirembe au bado unapata matibabu?

Pole sana...Utapona usijali.
teh teh teh..sasa imekua ukiwa. mbele ya hoja mnabakia bubu kazi kutoa mitusi. ndio maana mkapa kawaambieni ile maneno mbaya..teh teh, eti wapumbavu.
hapa kazi tu.
 
Kila kitu sasa kiko ukutani kuhusu anguko la UKAWA. Kila chama mshirika kimesambaratika. Sio CHADEMA sio CUF wala NCCR mageuzi. Vyama vimevamiwa na mamluki waajiriwa wa tajiri anayedhani anaweza kununua urais wa Tanzania kwa hela yake. Baada ya usaliti wa viongozi wa CHADEMA wananchi wamegundua hila na mazingaombwe ya UKAWA wanangojea kutoa hukumu Oct 25 kwa kusema 'ndio' kwa Magufuli. Wasaliti sasa wanapigana vita gizani. Wanarusha ngumi bila kuona adui wanadundana ngumi wenyewe kwa menyewe. Kwenye mitandao ya kijamii wameishiwa hoja wanarusha magarasha tu.

Mbona unaongea hivyo ukiwa umejifungia chumbani kwako...?? Nenda field kwenye mikutano ya Dr. Magufuli umwage nondo hizo kwa wananchi...!!
Majibu utakayokutana nayo tafadhali njoo utueleze hapa....!!
 
teh teh teh..sasa imekua ukiwa. mbele ya hoja mnabakia bubu kazi kutoa mitusi. ndio maana mkapa kawaambieni ile maneno mbaya..teh teh, eti wapumbavu.
hapa kazi tu.
Mkapa alimaanisha wapumbavu na Malofa wanaompigia kampeni Magufuli wakati hawana hata buku mfukoni!

Hope uko kwenye list ya wapumbavu wa kweli...!
Pole sana!
 
Kila kitu sasa kiko ukutani kuhusu anguko la UKAWA. Kila chama mshirika kimesambaratika. Sio CHADEMA sio CUF wala NCCR mageuzi. Vyama vimevamiwa na mamluki waajiriwa wa tajiri anayedhani anaweza kununua urais wa Tanzania kwa hela yake. Baada ya usaliti wa viongozi wa CHADEMA wananchi wamegundua hila na mazingaombwe ya UKAWA wanangojea kutoa hukumu Oct 25 kwa kusema 'ndio' kwa Magufuli. Wasaliti sasa wanapigana vita gizani. Wanarusha ngumi bila kuona adui wanadundana ngumi wenyewe kwa menyewe. Kwenye mitandao ya kijamii wameishiwa hoja wanarusha magarasha tu.


Broo usidhani,huyo alie kaa chini kukusikiliza anapenda utumbo wako laa! Ana subiria meza yake ulio simamia .
 
Opopa mchaka mchaka elilim elim elim ikukomboe uache kupewa buku10 wenzio wanalamba bilion mwanao anakaa chini maji hamna elim elim elim
 
Mkapa alimaanisha wapumbavu na Malofa wanaompigia kampeni Magufuli wakati hawana hata buku mfukoni!

Hope uko kwenye list ya wapumbavu wa kweli...!
Pole sana!
ona sasa. mizungu mazingaumbwe ya gwajima. huyo mchawi wenu hadi nyeupe watu wanasema nyeusi hakika atashindwa.
 
Mimi na ukoo wangu hata babu yangu ambae alikuwa mbishi tutampigia Lowassa..Mtoa mada na wengine mliobaki CCM bado mna mda wa kupanda ktk meli ya ushindi…njooni tuimbe wote MABADILIKO
 
Unazungumzia ccm Kula hizi
 

Attachments

  • 1442659560973.jpg
    1442659560973.jpg
    25.1 KB · Views: 132
Mimi na ukoo wangu hata babu yangu ambae alikuwa mbishi tutampigia Lowassa..Mtoa mada na wengine mliobaki CCM bado mna mda wa kupanda ktk meli ya ushindi…njooni tuimbe wote MABADILIKO

Mabadilikoooo. Aliyekuwa fisadi Kawa kamanda wetu. Aliyekuwa kamanda tumemuita msaliti. Ila ofisi za kitaifa bado tumepanga kwa Mbowe.
 
UKAWA wapo pamoja than ever! Na sasa ushindi ni dhahiri. Magamba yanatapatapa kutafuta kila njia kutugawa lakini kila mbinu imegota. Hata vijijini sasa wanaimba Lowasa.Halafu faraja ni kuwa wengi wanaotuunga mkono wamejiandikisha kupiga kura!

Naomba nikukumbushe au nikuhabarishe kuwa watu wengi wamejiandikisha kwa nia ya kupiga kura bali ni kwa nia ya kutaka kupata vitambulisho vya uraia. Usijeshangaa pale ambapo watakaopiga kura watakuwa ni chini ya 50% ya wapiga kura wote. Rejea takwimu za chaguzi zilizopita.
 
Au ccm kusambaratisha nchi kwa kila mtu kuchukua chake
 

Attachments

  • 1442659842282.jpg
    1442659842282.jpg
    16.8 KB · Views: 87
Back
Top Bottom