TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,991
- 22,065
Nikimkosea badala aniambie nijirekebishe, yeye anaenda kumwambia Mchungaji. Nimejaribu kumsihi asifanye hivyo, yeye anasisitiza hana cha kuongea na mtenda dhamb ila kila kitu atamweleza baba yake wa kiroho.