Kila kitu anaripoti kwa Mchungaji

Kila kitu anaripoti kwa Mchungaji

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,991
Reaction score
22,065
Nikimkosea badala aniambie nijirekebishe, yeye anaenda kumwambia Mchungaji. Nimejaribu kumsihi asifanye hivyo, yeye anasisitiza hana cha kuongea na mtenda dhamb ila kila kitu atamweleza baba yake wa kiroho.
 
Mke aina hiyo dawa yake ndogo sana ila inategemea sana na we we unavyomchukulia.Tafuta mama wa makamu mrembo wa heshima zake mpe dondoo ya hili jambo halafu baada ya hapo jifanye kukutana naye kila Mara kupata ushauri kuhusu mwenendo huu mpya wa mkeo ....reaction yake baada ya kuipata ulete majibu hapa jf.
 
Inaonekana kwenye kumtafuta huyo mke Mchungaji alihusika kwa kiwango kikubwa kuliko wewe na ndio maana anakimbilia huko.
 
Too much of everything is poisonous. Huyo mke wako ameokoka kupitilizia. Ni makosa sana kumwambia MTU yeyote siri za boma yake. Huyo sio WIFE MATERIAL.
 
Huyo mtafutie mchepuko tuu atatulia mwenyewe...
 
Anasali pale ufufuo na uzima?? eeeh
 
sipendi wanawake wa dizain hyo, jitu linatoa mambo ya ndan linapeleka nje ,kama lofa!
 
Back
Top Bottom