nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Umeona eeh. Haya mapenzi ambayo hayajawa halali ni ngumu kweli kusema nani anamchiti nani na nani anamwibia nani. Huyo anayezungumza nae masaa manne aweza kuwa nae anajiona mmiliki halali.
Mimi kwa formular yangu ilikuwa bila ndoa kila mmoja yuko free as molecule in air; ndo maana watu penzi likiwakolea wanaamua kutangaza nia ili wawe wamiliki kisheria wenye uwezo hata wa kulida mali zao kwa mtutu.
Mimi kwa formular yangu ilikuwa bila ndoa kila mmoja yuko free as molecule in air; ndo maana watu penzi likiwakolea wanaamua kutangaza nia ili wawe wamiliki kisheria wenye uwezo hata wa kulida mali zao kwa mtutu.
hakuna cha kusaidiwa
chamsingi wewe tambua hujafikia vigezo vya manamume anayamtaka
kwa msaada jitahidi kufanya kazi kwa maarifa na juhudi ukishapata cash atarudi,sawa????