Kila cku lakini leo kazidisha

Umeona eeh. Haya mapenzi ambayo hayajawa halali ni ngumu kweli kusema nani anamchiti nani na nani anamwibia nani. Huyo anayezungumza nae masaa manne aweza kuwa nae anajiona mmiliki halali.

Mimi kwa formular yangu ilikuwa bila ndoa kila mmoja yuko free as molecule in air; ndo maana watu penzi likiwakolea wanaamua kutangaza nia ili wawe wamiliki kisheria wenye uwezo hata wa kulida mali zao kwa mtutu.

hakuna cha kusaidiwa

chamsingi wewe tambua hujafikia vigezo vya manamume anayamtaka

kwa msaada jitahidi kufanya kazi kwa maarifa na juhudi ukishapata cash atarudi,sawa????
 
Ping request timedout..TTL 89999999156ms
Hadi ukutane na manyoya ndo utajua kaliwa?...next time ukikutana na vitu kama hivyo just take action usisubiri kutuuliza piga chini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom