LEARNED BROTHER
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 548
- 735
jua keshaliwa.............., pole mkuu
in fact hastahili kupendwa coz hakutakiw kukacrika alitakiwa ajishtukie kwasabab amekudanganya na akuombe msamaha
Ngoja nimsimulie mkasa huu dogo wangu wa Pre Standard 1 kisha nimpe Laptop akuchane live.
Maana inaelekea akili zako na JK au Peter P. M zipo sawa (Hamuwezi kufanya maamuzi magumu kila mara mpo kwenye mchakato)
Wewe tulia, usimpapalikie tena!! Mwache hivyo hivyo! akikuchunia basi ndiyo kimoja! Akijirudi (angalia na muda wa kujirudi) mpe laivu bila chenga A - Z nini hupendi, unatakaje na kwa nini ulimpenda yeye lakini kutokana na 1,2,3 .... inakuwia vigumu kumwamini tena.
Wanajamii nisaidieni mawazo yenu...ctaki kusimulia yaliyopita ila ni kwamba nilikuwa naongea na ninaeamini ni mpenzi wangu lakini ghafla kanambia kata cm mama anapiga tokea saa nne bt kila nikipga tena ipo call waitn,nikajaribu kumpigia mama ake akapokea nikazuga kumpa salam then nimerudi tena kwake cm ipo bado hewani anaongea...nikakata tamaa nimeamua kulala akanipigia anadai kaongea na mama yke ananisalimia....nikamwambia mpigie tena ye ndo anakusalimia amekasirika kwa nn nmempigia mama ake ucku bila kumtaarifu...je huyu anastahili kupendwa kweli?
Nipe namba yako ya simu ili na siye tumlipizie:glasses-nerdy:
wanajamii nisaidieni mawazo yenu...ctaki kusimulia yaliyopita ila ni kwamba nilikuwa naongea na ninaeamini ni mpenzi wangu lakini ghafla kanambia kata cm mama anapiga tokea saa nne bt kila nikipga tena ipo call waitn,nikajaribu kumpigia mama ake akapokea nikazuga kumpa salam then nimerudi tena kwake cm ipo bado hewani anaongea...nikakata tamaa nimeamua kulala akanipigia anadai kaongea na mama yke ananisalimia....nikamwambia mpigie tena ye ndo anakusalimia amekasirika kwa nn nmempigia mama ake ucku bila kumtaarifu...je huyu anastahili kupendwa kweli?
Ukiona manyoya ....................................
sasa unataka aendelee kufanywa bushoke????ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKOkuna mtu hapo juu kanifurahisha anasema sikuhizi mvua zinanyesha bila hata mawingu, labda nikuibie siri ya kuishi na mpenzi wako kwa mda mrefu, taratibu usimwambie jirani...never usimchunguze mpenzio kwa nyendo anazofanya, baada ya yeye kukwambia kata ungekata ukalala mpaka hapo atakapo kutafuta japo karoho kangekuwa kunakuuma lkn ni for the best' trust me usipomfuatilia sana mpenzio huta pata stree.. ila ikitaka kufuatilia tu, utalipata jibu, na litakuuma sna