Indian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 821
- 710
Tuko pamoja kiongozi somo bado linaendelea coz kuna mada nyingi zinazohusu hawa viumbe Jinn zinakuja.
Hivyo usjali mkuu.
Karibu sana Mkuu
Tuko pamoja kiongozi somo bado linaendelea coz kuna mada nyingi zinazohusu hawa viumbe Jinn zinakuja.
Hivyo usjali mkuu.
Ndo maana nchi ni masikini...watu wake wanakariri nonsense myth badala ya kujikita kwenye kazi za maendeleo....Eti kila mtu ana jini, kwani kila mtu ni director wa bongo movie ya jini kabula???
Haya ni mawazo hasi na yamewajaa watu ambao uwezo wao wa kufikiri na kuhoji uko katika kiwango cha chini sana. Ni watu wenye uwezo mkubwa wa kukariri. Wengi ni watu tegemezi na mapato yao makuu huyapata kwa washirika wao walio waathiri kisaikolojia, wenye uwezo kipesa kutoka vyanzo vya urithi au vyenye utata.