Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,325
- 9,532
Hivi hii ipo kweli,
Ukimlaani mtu inakuja kumpata??maana nimeskia skia
Ukimlaani mtu inakuja kumpata??maana nimeskia skia
Sijui nifanye nn maana moyoni hayumo kbsa na kupretend eti nimtulize moyo siwezikazi kwako mkuu!
Weka namba yake pm hakika hatakulalamikia tena...
Hatar ndugu yanguAisee
Yeah[emoji3]Mkuu naona ulikua unachat huku unachaji cm.Ni hayo tu.
The gal bado anakupenda ndomana anajaribu kupata confort kutoka kwako maybe utamuonea huruma na umrudie n the more unamuintertain wakati huna malengo nae ni kuzidisha tatizo na si kumsaidia koz kwake wewe bado unaexist....
Analalamika au mtoa mada unazingua mbona utani mwingi hutasema hajaachwa huyo demu kashakuwa sugu wa mapenzi
Anajielewa huyo....
Usimuache.
Acha matusiMtoa mada na demu wake wote akili sawa [emoji3]
Usione anacheka ni vile nimemjenga kirafiki sana lakini ni mara ya tatu hii anakuja kunambia kuhusu hili swalaHuyo hata halalamiki wala..mnachat tuu kishkaji we umeamua kuchukulia serious
Acha masihara bas...!!Yani dah sema kuna vitu flan binafsi viliniondolea mzuka wa kua nae lakini bonge la wife material
Jf cndo kilinge cha nadharia mkuuKila akitendwa anakuja kukulaumu na kila ukilaumiwa unakuja kuanzisha uzi JF
Yan kaka huwez amin hapa tulikua na muda kama miezi kadhaa hatuwasiliani ndo kancheki jana na hii ni mara ya 3
Hujaeleweka ulichoandika hapo fafanua vzuri watu waelewe, hahahah!Umenielewa nachomaanisha usimuintertain kama huna malengo nae kuna sababu ya kuitwa ex kama huamini dogo mpe mda mchache huyo manzi utakuja na uzi hapa
Na alikua ana screenshort kila anachokichatiMkuu naona ulikua unachat huku unachaji cm.Ni hayo tu.