Kila aguswaye na pendo

Kila aguswaye na pendo

Mentor

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2008
Posts
20,334
Reaction score
23,940
images


Wahenga walisema, kila aguswaye na pendo huwa mshairi,
na leo nipo hima, kulitoa la moyoni kamwe lisiwe siri,
kwa shauku ninahema, ka nilietoka kubikiri,
heri siku kuzaliwa, mwandani wa wangu moyo!!!

HAPPY BIRTHDAY ladyfurahia....u r just like fine wine, matures with age!!! Nilipokuona leo asubuhi, u mzuri kama siku niliyo lay my eyes on you kwa mara ya kwanza kule kijijini kwenu nilipokuja kikazi na bosi wangu! Nikakupenda na sikuchelewesha kukujulisha nia na haja ya moyo wangu kwako..nikakuoa na kukuweka ndani na hata sasa...hata sasa bado ninakupenda na u mzuri mwenye sura ya binti mchanga!!!

Nakutakia heri na fanaka katika siku yako hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako...Upate furaha tele na May God grant you all your heart's desires..this day and throughout the year!!!

HAPPY BIRTHDAY MPENDWA WA MOYO WANGU.
images
 
Last edited by a moderator:
Mbwembwe meeeeeeeeeeeeen na ikifika bathday yangu nikikosa wakunirusha roho nafwa kabisa ajitolee mtu humu tr 17 june .HB LF
 
u mzuri kama siku niliyo lay my eyes on you kwa mara ya kwanza kule kijijini kwenu nilipokuja kikazi na bosi wangu

Kumbe ulimkutana na shem ladyfurahia kule sitimbi!!!!

Hebu nikuulize maswali la kizushi

1.Je muonekano wa Lady kwa sasa na wazamani ukoje? Je kwasasa anaonekana amerizaka na mapendo ya kapera Mentor au tu ni yale mambo ya bora liende?
2.Unaikumbukaje siku ya kwanza kukutana na Lady?

Hivi ni Happy Bith Day au Happy Bith Date?
 
Last edited by a moderator:
Thanks alot my dear

sina lugha ya kushukuru kwa upendo uliouonesha kwangu sikutegemea haya kwangu kweli umenifanya niwe mwenye furaha na upendo wangu kwako hautafutika kamwe nitaendellea kukupenda daima milele pokea shukrani ayangu hii hapa



images


Wahenga walisema, kila aguswaye na pendo huwa mshairi,
na leo nipo hima, kulitoa la moyoni kamwe lisiwe siri,
kwa shauku ninahema, ka nilietoka kubikiri,
heri siku kuzaliwa, mwandani wa wangu moyo!!!

HAPPY BIRTHDAY ladyfurahia....u r just like fine wine, matures with age!!! Nilipokuona leo asubuhi, u mzuri kama siku niliyo lay my eyes on you kwa mara ya kwanza kule kijijini kwenu nilipokuja kikazi na bosi wangu! Nikakupenda na sikuchelewesha kukujulisha nia na haja ya moyo wangu kwako..nikakuoa na kukuweka ndani na hata sasa...hata sasa bado ninakupenda na u mzuri mwenye sura ya binti mchanga!!!

Nakutakia heri na fanaka katika siku yako hii ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako...Upate furaha tele na May God grant you all your heart's desires..this day and throughout the year!!!

HAPPY BIRTHDAY MPENDWA WA MOYO WANGU.
images
 

Attachments

  • thanks.jpg
    thanks.jpg
    9.2 KB · Views: 85
  • furahia.jpg
    furahia.jpg
    5 KB · Views: 393
Back
Top Bottom