ISSA TIMTIM
Member
- May 19, 2011
- 6
- 0
Tatizo lenu hamjielewi na inavyoonekana nyie wote ni vyama pinzani endeleeni hivyo hivyo na huo ujinga wenu mtabaki kusema tu na mpaka midomo yenu itawanuka kwa kusema vitu visivyo vya msingi.Kama mkekuwa na uchungu na nnchi yenu basi msinge fanya makosa 2010.ETI MNASEMA MIAKA 50 FOR NOTHING NANA KAWAAMBIA NYIE!!!!!!!!!!Kama ingekuwa ni ivyo basi tusinge kuwa hapa tulipo.ACHENI USHAMBA WENU NYIE NA MSIPO ANGALIA MTABAKI IVYO IVYO KUSEMA N KUPONDA TU ILA CMM JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU