Mkuu, kwani Kikwete ni Dikteta? Kama ndo hivyo, hizi mahakama zimewekwa kwa kazi gani? Kama ndo hivyo, hizi mamlaka zilizoundwa kushughulikia masuala hayo na ambazo zimepewa meno zina kazi gani? Ni aibu kwa wanachadema kuwa na mtazamo kuwa JK anaweza kufanya kila kitu kwa ajili ya nchi hii