Kikwete yupo Adis Ababa kama nani?

Kikwete yupo Adis Ababa kama nani?

1. Rais mstaafu wa kenya alikuwepo!

2. Rais mstaafu wa nigeria alikuwepo

3. Na kama niliona vzr hata mstaafu wa ghana naye alikuwepo

We macho yako yameona jk tu?
 
Hawa watu ndio maana hawatakaa wakubali kuachia power kirahisi.
Kuna ndugu yangu mmoja alitoka bushi akaja jijini kutembea/kusalimia siku tuliyopita nae ikulu yupo kwenye daladala alisema ifuatavyo

" duh hapa ndo ikulu, ccm kuwatoa hapa labda nguvu itumike"

hadi sasa msemo wake nikiufikiria naona bado unamashiko
 
Kuna ndugu yangu mmoja alitoka bushi akaja jijini kutembea/kusalimia siku tuliyopita nae ikulu yupo kwenye daladala alisema ifuatavyo

" duh hapa ndo ikulu, ccm kuwatoa hapa labda nguvu itumike"

hadi sasa msemo wake nikiufikiria naona bado unamashiko
Regime kutoka madarakani Africa ni kama kujihukumu kifo na umasikini kwa circle yako. Siasa ndio inalipia zaidi kirahisi kwenye hizi nchi zetu corrupt na zilizojaa nepotism na ufisadi. Ukitoka madarakani wakaingia watu wenye mrengo tofauti kabisa na wewe unapoteza access ya rasilimali na fursa nyingi sana, Kuna kufilisiwa na zaidi hata wewe na circle yako mkafungwa na kuhangaishiwa mahakamani kama mlivyokuwa mnawafanyia wengine.
 
Regime kutoka madarakani Africa ni kama kujihukumu kifo na umasikini kwa circle yako. Siasa ndio inalipia zaidi kirahisi kwenye hizi nchi zetu corrupt na zilizojaa nepotism na ufisadi. Ukitoka madarakani wakaingia watu wenye mrengo tofauti kabisa na wewe unapoteza access ya rasilimali na fursa nyingi sana, Kuna kufilisiwa na zaidi hata wewe na circle yako mkafungwa na kuhangaishiwa mahakamani kama mlivyokuwa mnawafanyia wengine.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom