Kikwete yuko Vietnam

Nahisi dr alienda kumwombe ajira vasco da gama ili awe dereva wa Apolo maana tumechoka kuona kodi zetu zinamalizwa na ki gulf stream,kindege hakitulii kila dakika unakiona kinakatiza kipawa utafikiri daladala bwana

Nimecheka saba hii. ..dah mkuu you have made my day!
 
Watu mna majibu humu ndani ...aisee yaan JF is never boring
 

Mkuu hoja zako ni nzito sana...endelea kutoa elimu kaka!
 
Kwa hivyo Great Thinker unashauri Rais awe anabaki humu humu nchini ?? Halafu Marais wa hizo nchi za Ulaya, Marekani na Asia ndiyo waje wamtembeleee ? Wafanyabiashara na Wawekezaji waje kumtembelea ? Hiyo nayo SHULE !

Mbona we huwa unatoka nyumbani na kwenda dukani kununua vitu? kama huyu mfanyabiashara kaona biashara inayo mfaa iko Tanzania ataifuata tuu, ilimradi aone matangazo.
 

Huyu ndugu yangu,huyu kuna siku atakuja KUOKOKA yaani shateni CCM akae mbali naye.Wajua kaka muda ni dawa,tumsubiri tu.
 
Mbona we huwa unatoka nyumbani na kwenda dukani kununua vitu? kama huyu mfanyabiashara kaona biashara inayo mfaa iko Tanzania ataifuata tuu, ilimradi aone matangazo.

Kaka huyo anakichwa kigumu itamuwia ngumu sana kukuelewa kabeba bichwa tu.
 
Huyu aliyefuatana naye ni nani (ktk picha) mbona amechoka sana. Hataki kulea wajukuu?
 

So whaaaaaat!? Ndo aendelee kuzurura tu sasa sio? Kisa vijijini wana tigo-pesa na m-pesa? Mawazo ya mtu aliyelewa mbege kabisa!
 
Kwa hivyo Great Thinker unashauri Rais awe anabaki humu humu nchini ?? Halafu Marais wa hizo nchi za Ulaya, Marekani na Asia ndiyo waje wamtembeleee ? Wafanyabiashara na Wawekezaji waje kumtembelea ? Hiyo nayo SHULE !

shida si kusafiri ila safati zilizoptiliza na zenye msafara mkubwa

na kuna safari zingije si za kwenda rais.. Waziri tu atosha
 

Ni kweli siye tuliyetoka VIJIJINI tukaja mjini tukula burger na pizza badala ya ugali na maharagwe.

Naomba nikupe nukuu hii toka kwa JK Nyerere,huyu aliyekuwa mwanzilishi wa hiyo CCM yenu..Alisema nanukuu"Siku moja akitokea kiongozi wa TAIFA letu akatuambia huko nje kuna hela nyingi kuliko hapa nyumbani,mwambieni wewe ni mpumbavu" mwisho wa kunukuu.

Na hii nukuu ya pili ni ya Rais wetu mpendwa nitanukuu ..."Unapoenda kuomba siyo kwamba wewe unapenda kuomba ,huko nje kuna mataifa yenye hela nyingi tu!Unachotakiwa ni kujieleza wakikuelewa watakupa"

Ukiweza kuzitafakari hizi nukuu mbili hautakaa uandike tena hiyo post yako.Pole.
 
Miraisi mingine bwana!!, inakesha angani kama popo.:smokin::smokin:
 
Nadhani siku hizi Serikali inaona aibu kutangaza baadhi ya ziara za JK. Hii ziara ya Vietnam sijaisikia bali nimeionea humu.

Jana jioni nilifuatilia kipindi Radio One kuhusu Mikopo ya Wanafunzi Vyuo vikuu. Viongozi wa TAHLISO walikuwa wakilalamikia serikali kushindwa kuwapa mikopo wanafunzi wanaostahili kwa madai ya ukosefu wa fedha wakati raslimali ni nyingi na matumizi serikali ni makubwa sana.

Mmoja wao akasema anashangaa kuwa serikali inadai haina pesa wakati wakienda Bodi ya Mikopo kufuatilia wanakuta magari ya Bodi ni ya kifahari mno, mashangi yanayoanzia milioni 200 ndio yanayotumiwa na wakurugenzi wa vitengo wa Bodi. Kuna mmoja wa watetezi Assenga Abubakar akadai kuwa inaipasa bodi kuwa na magari ya gharama hiyo ili kufanya kazi vizuri kwa kuwa miundombinu ya Tanzania sio mizuri, hiyo magari hayo yanawawezesha kutembelea vyuo vilivyo mikoani! Nilimshangaa sana.

Vv
 
huyu dada naona jk atakuwa ndg yake hampingi hata siku moja kutwa kumtetea aise.....
 
Yupo kazini. Sasa afanyeje wakati ndio moja ya majukumu yake makubwa?
 
Mwacheni JK ale bata... Maisha mafupi jamani.... subirini zamu yenu... BTW: hao wazungu waliogoma kutupatia misaada walifikiri JK hata safiri? Sasa ni China na Asia kwa kwenda Mbele deals za UK na USA zinaboa sana ... Wanabana misaada wakati ni fedha ambazo CCM walikubaliana nao wazifiche kwenye mikataba!!! Kidumu Chama Cha Mapinduzi ....
 
mbowe alikuwa south africa akaunganisha oman kisha akarudi dar es salaa, leo kaenda hai.

stop being cynucal.ziara zote za mbowe(ukijumlisha alizoenda kama kiongozi wa upinzani bungeni na alizoenda kama mfanyabiashara na hata kamam mtalii) hazifiki hata asimia kumi ya zile jk ameenda kama rais
 

Hivi tuseme rais akikaa hapa tz na kutumia rasilimali zilizopo hapa hapa hatuwezi kupata maendeleo,MSD wamesitisha kutoa dawa ila jk hii ziara atatumia hata bl 10.
mmelishwa nini hadi muwe na mahaba ya kussuport ujinga huu wa ccm??
 
Hivi anajua kuwa hospital hazina dawa kweli?China si aliomba reli, huko Vietnam tunamuomba atuombee dawa za matibabu maana huku hakuna kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…