Kikwete wewe ndio maskini

kusema kweli sikuona sababu ya ile zawadi kupata media coverage... kikwete ni mtu mzuri tu, lakini kwa urais bado moyo wangu unakua mzito kukubali, hasa kutokana na idara yake ya habari inavyoweza kuchagua kipi cha kuja kwa public let alone uzito wake wa kufanya maamuzi kama rais!!!

sijapenda jinsi alivyopokea jezi ya real, kibaya zaidi kutoka kwa meya, kama wanathamini na yeye ni rais, basi wangemtuma senior official kuileta yiho tisheti ya madrid

Kikwete is getting too low as a president...

BTW< amezungumzia chochote kuhusu pesa za radad hadi leo??
 

Nimechukia mpaka moshi unatoka kwenye macho ...machozi yanatokota....@$%%&**&^~~~<<>?>< kwa sababu!####%%^????//..,^?^!!!! inakuwa &#29399;&#23617;

Yaani &#26377;&#20010;&#22320;&#26041;&#36807;&#24180;&#30340;&#39118;&#20439;&#26159;&#21507;&#24180;&#22812;&#39277;&#65292;Kwa hiyo ina maana &#21322;&#22812;&#36215;&#26469;&#65292;&#20808;&#31085;&#31062;&#65292;kwa sababu &#20062;&#27714;&#20445;&#20305;&#65292;sasa inakuwaje &#22270;&#20010;&#21513;&#21033;&#12290;&#29239;&#29239;&#24102;&#30528;&#23567;&#23385;&#23376;&#65292;&#26469;&#21040;&#40657;&#40669;&#40669;&#30340;&#22530;&#23627;&#37324;&#65292; wakati sisi kila wakati tumesema &#23567;&#23385;&#23376;&#24515;&#37324;&#21457;&#27611;&#65292;&#25265;&#30528;&#29239;&#29239;&#30340;&#33151;&#19981;&#25918;&#12290; je kama &#29239;&#29239;&#25670;&#24320;&#20379;&#21697;&#65292;&#24320;&#22987;&#20316;&#25558;&#65292;&#33136;&#24367;&#19979;&#21435;&#30340;&#26102;&#20505;&#65292;yeye kwa mfano &#19981;&#26399;&#25918;&#20102;&#20010;&#21709;&#23617;&#65292;&#24322;&#30340;&#21709;&#22768;&#30528;&#23454;&#25226;&#23385;&#23376;&#21523;&#20102;&#19968;&#22823;&#36339;&#65292;&#36830;&#24537;&#38382;&#65306;&#29239;&#29239;&#29239;&#29239;&#65292;&#26159;&#19981;&#26159;&#39740;&#21483;&#65281;”&#21710;&#21568;&#65281;&#20320;&#24590;&#20040;&#35828;&#36825;&#26679;&#19981;&#21513;&#21033;&#30340;&#35805;&#12290;&#29239;&#29239;&#24537;&#35828;&#65306;&#29399;&#23617;&#65281;&#29399;&#23617;&#65281;


Kumbe wale jamaa waliofungiwa &#29239;&#29239;&#25670;&#24320;&#20379;&#21697;, kwa sababu......

Ina maana kama ataivaa hiyo jezi....&#24322;&#30340;&#21709;&#22768;&#30528;&#23454;&#25226;&#23385;&#23376;&#21523;&#20102;..

Kwani mtu anapochukua ubini wa mtu mwingine....ina...&#29239;&#29239;&#24537;&#35828;

Ahgggghh!!!!!!!
 
Kwa kweli hata mimi jana ile kauli iliniudhi sana. Mtu anaongea utadhani hajaimba ule wimbo wa "tazama ramani utaona nchi nzuri". Masikini ni yeye na watu wooote wenye fikra kama za kwake lakini mimi kunichanganya kwenye kundi hilo.......NIMEKATAA.
 

Du hicho kichina au Kijapan?????
 
Hivi karibuni niliona picha na clip moja ya Raisi wa Marekani Obama akikabidhiwa mpira wa basketball na jezi ya timu yakina kobe...sijui kama kuna kasoro yoyote kwa JK kupokea ile jezi ukichukulia mwanzo alikwenda kuwaomba watembelee Bongo kuitangaza kwa utalii.
Labda useme hilo swala UMASKINI...mana hta nami nashindwa kushangaa pale rais aliposema anashangaa kwanini Tanzania ni maskini..tena ilikuwa ni kwenye mahojiano na mhandishi wa Paris.
 
Naweka mpira KWAPANI

Ukiweka mpira kunako kwapa manake mjadala umekwisha..si unajua tena hata kwenye michezo ya chandimu enzi hizo mwenye mpira akiweka mpira wake kwapani hapo ndo imetoka hiyo..sasa mwana kulikoni tena??
 

Hiyo jezi aliyopewa Obama ni ya timu kutoka Temeke???

Na by the way Obama ni msahafu????

Uko tayari wewe Rais wako avae jezi yenye jina la Ronaldo? unajua maana yake????????

Sasa kwa nini mkawafungia???Mngewaacha waendelee...vitu vingine wabongo mnavifanya wenyewe...mkichorwa mnasema mnatukanwa...ebo!!!

Mi jezi ya madrid ninayo home, napigia deki. Madrid upupu tu.....tuache kukasirishana humu...patakuwa hapatoshi.....Au mnatutafutia sababu mtupoteze kabla ya uchaguzi ili mshinde kizushi.

Hili lazima nije nalo wakati wa kampeni.....hapiti mtu hapa.
 

Naona hapa JK anatafuta kura mwaka 2010 kwa kila njia. Hapa wanaoombwa kura ni wapenzi wa timu husika na labda wa mpira wa miguu au michezo kwa ujumla wake.
 
Huyu mkulu wetu ni bingwa wa kuchemsha, Hivi kweli sisis watanzania wooote yaani yeye tu ndiyo tulimuona anafaa kuwa president wetu!?
Du! na amesema atahakikisha Real Madrid inatia mguu Bongo,.......sasa kichekesho wakati anahangaika na Ronaldo hapa nyumbani kuna tishio la mgomo wa wafanyakazi, yeye waaala haimshtui!
 
Hatuwezi kuona matokeo ya hivi karibuni ktk utendaji wake, kwani hata huko nje hotuba zenyewe ni zenye kubeba ujumbe wa "kufikirika" zilizojaa matarajio kuliko mipango ya utekelezaji ya muda mfupi....

 
We acha tu, alafu sijui hili neneo analipendea nini, wewe umepewa zawadi kwa mchango wako kwenye soka, unaingiza masuala ya kujiita umaskini, sijui ilikuwa ni GEA ya kuomba misaada?

poor mind, poor thinking capacity, poor leading skills,poor leadership, poor in words selection, poor in everything!
 

No comments brother !
 
Hivi kama Rais ni Mjinga wale waliokubali kuongozwa na mjinga wanasifa gani???werevu?? kama mjinga anafanikiwa kushawishi werevu mpaka wanampa kura, yeye anabaki kuwa mjinga au anabadilika na kuwa mwerevu na nyie mliokubali kuongozwa na mjinga mnakuwa na sifa ya ziada ya UPUMBAVU?????????
 
Tungekua maskini kivile angekua na fleet ya BMW, BENZ, V8 na kuzurura dunia nzima kwa hela yetu!! Hajiulizi hela anayotumia na wezi wake ingeweza kuleta changes kubwa sana kama ikiwa directed properly.
 
Hatuwezi kuona matokeo ya hivi karibuni ktk utendaji wake, kwani hata huko nje hotuba zenyewe ni zenye kubeba ujumbe wa "kufikirika" zilizojaa matarajio kuliko mipango ya utekelezaji ya muda mfupi....

Good Good i support you

poor mind, poor thinking capacity, poor leading skills,poor leadership, poor in words selection, poor in everything!

Mmmmmmh yangu Macho
 
Tumpeke shule kwa kumpa kura "kiduchu" kwenye uchaguzi ujao, labda ataziduka!
 
Tumpeleke shule kwa kumpa kura "kiduchu" kwenye uchaguzi ujao, labda ataziduka kutoka Usingizini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…