Kikwete: Waziri yeye, katibu mkuu yeye, injinia yeye

nyabhingi

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
15,515
20,005
alipokuwa anawasema mawaziri wake ndipo nilipomuona kikwete msanii,jamaa alikuwa anaongea yeye mda wote,aliponiacha hoi ni pale alipogeuka injinia na kuanza kuelekeza jinsi reli mpya itakavyotengenezwa wakati hii ya sasa hivi ikiendelea kutumika,kwa ufupi alikuwa anafanya sanaa ya kuonyesha kwamba yeye anajua vitu,ni kama uwanja wa kuwaonyesha watz kwamba yeye sio kilaza kama wanavyosema,alikuwa anaelekeza vitu kwa watu ambao nina uhakika ni kutoka katika ripoti za hao hao anaowaumbua kuwa hawajui kitu,..jamaa mbabe kweli..
 
alipokuwa anawasema mawaziri wake ndipo nilipomuona kikwete msanii,jamaa alikuwa anaongea yeye mda wote,aliponiacha hoi ni pale alipogeuka injinia na kuanza kuelekeza jinsi reli mpya itakavyotengenezwa wakati hii ya sasa hivi ikiendelea kutumika,kwa ufupi alikuwa anafanya sanaa ya kuonyesha kwamba yeye anajua vitu,ni kama uwanja wa kuwaonyesha watz kwamba yeye sio kilaza kama wanavyosema,alikuwa anaelekeza vitu kwa watu ambao nina uhakika ni kutoka katika ripoti za hao hao anaowaumbua kuwa hawajui kitu,..jamaa mbabe kweli..

sio ubabe mkuu, hizo ni side effects za kikombe cha babu
 
sio ubabe mkuu, hizo ni side effects za kikombe cha babu

singleman una vituko,hata huku kikombe kinafika? Mböna cloudsfm kipindi cha Jahaz kibonde huwa anaichambua sanaa,anarudi magazeti,anaongelea kuandaa birthday ya jk,anamkosoa dr slaa,anaigiza sauti ya nyerere,anachambua mikataba ya iptl,dowan au tra,anarudi kwenye wanasiasa,anamsema sugu anamalizia na kutangaza kiwanja kipi kitakuwa na nani,utasikia wkend hii pale mzalendo atakuwepo machoz bendi,maisha atapiga ...n.k Haya yote anayafanya ndani ya dk.40. Kwa kweli wapo magenius wachache tz wanaojua kila kitu. Kuna akina omr,genius brainwash,jk ,kibonde,hiza,bagenda ,salva n.k n.k. Jeykey our injinia!
 
  • Thanks
Reactions: Iza
alipokuwa anawasema mawaziri wake ndipo nilipomuona kikwete msanii,jamaa alikuwa anaongea yeye mda wote,aliponiacha hoi ni pale alipogeuka injinia na kuanza kuelekeza jinsi reli mpya itakavyotengenezwa wakati hii ya sasa hivi ikiendelea kutumika,kwa ufupi alikuwa anafanya sanaa ya kuonyesha kwamba yeye anajua vitu,ni kama uwanja wa kuwaonyesha watz kwamba yeye sio kilaza kama wanavyosema,alikuwa anaelekeza vitu kwa watu ambao nina uhakika ni kutoka katika ripoti za hao hao anaowaumbua kuwa hawajui kitu,..jamaa mbabe kweli..

Mkulu ni bonge la kilaza!
Ni bingwa wa kukariri maelezo anayopewa na kujimilikisha kama yake vile, na hilo ndilo linasababisha tuwalaumu wasaidizi wake kwa kuto-perform, kwani baada ya kujimilikisha mawazo yao, MKULU anataka aonekane yeye ndiye brain behind kila jema. Hatutofikaaaa!!!!!!!
 
singleman una vituko,hata huku kikombe kinafika? Mböna cloudsfm kipindi cha Jahaz kibonde huwa anaichambua sanaa,anarudi magazeti,anaongelea kuandaa birthday ya jk,anamkosoa dr slaa,anaigiza sauti ya nyerere,anachambua mikataba ya iptl,dowan au tra,anarudi kwenye wanasiasa,anamsema sugu anamalizia na kutangaza kiwanja kipi kitakuwa na


nani,utasikia wkend hii pale mzalendo atakuwepo macho bendi,maisha atapiga ...n.k Haya yote anayafanya ndani ya dk.40. Kwa kweli wapo magenius wachache tz wanaojua kila kitu. Kuna akina omr,genius brainwash,jk ,kibonde,hiza,bagenda ,salva n.k n.k. Jeykey our injinia!
Kibonde ipo siku mdomo wake utageukia kushoto
 
Kwa kuongea jk humuwezi. Rejea hotuba ya kufungua bunge baada ya uchaguzi wa 2005. Tuliomsikiliza kwa makini tulijiona kama tunaelekea peponi kumbe ndo tunakwenda kule kwingine. JK tunataka actions mwanzo mwisho, maneno yametosha. Hii ni ngwe yako ya mwisho huna cha kupoteza. Asiyetenda mpotezee acha kuwatishia nyau... watu wazima hao. Nimechoka.
 
Back
Top Bottom