nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
alipokuwa anawasema mawaziri wake ndipo nilipomuona kikwete msanii,jamaa alikuwa anaongea yeye mda wote,aliponiacha hoi ni pale alipogeuka injinia na kuanza kuelekeza jinsi reli mpya itakavyotengenezwa wakati hii ya sasa hivi ikiendelea kutumika,kwa ufupi alikuwa anafanya sanaa ya kuonyesha kwamba yeye anajua vitu,ni kama uwanja wa kuwaonyesha watz kwamba yeye sio kilaza kama wanavyosema,alikuwa anaelekeza vitu kwa watu ambao nina uhakika ni kutoka katika ripoti za hao hao anaowaumbua kuwa hawajui kitu,..jamaa mbabe kweli..