Interested Observer
Platinum Member
- Mar 27, 2006
- 4,814
- 7,454
Huyu babu kageuza politics Simba na Yanga. Ushabiki tu.Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Mhe Dkt Jakaya Mrisho kikwete amesema kuwa anaamini Bunge lijalo wabunge wa Pwani wote watakuwa wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na pia anaamini hiyo itakuwa Kwa Nchi nzima.
Dkt. Jakaya ameyasema hayo Leo Sept 28,2025 Kiwanja Cha Sabasaba Kibaha Mkoani Pwani Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025 ya Dkt. Samia Suluhu Hassan
Aidha Dkt. Jakaya amesema kuwa watu wa Pwani hawapo tayari kuchanganya Pumba na Mchele kwani wanayajua madhara yake na hawatathubutu kufanya hivyo.
One thing for sure, this is precedent
Msije mkatulaumu baadaye. Tuliwaonya