Elections 2010 Kikwete vs Wenje - Mwanza mjini

Huo ni uzushi mtupu, Wenje anachangiwa hata mafuta ya gari atatoa wapi pesa za kuwahonga wanafunzi wa CBE? hizo tabia halisi za CCM haziwezi kuigwa na CHADEMA. HIvi sasa Wenje yuko uwanja wa Milongo wakati JK yuko viwanja nvya Sahara ,lakini huwezi amini idadi ya mahudhurio ya Wenje yalivyo.
Nadhani hukumuelewa mwenzio kwani amemzungumzia Masha kuwa ndiye aliyecheza faulo hiyo na si Wenje.
 
Safiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.................................................................................
majimbo yote yangefanya kama wanavyofanya Nyamagana mi ningekuwa natembea bila kuvaa
 
Kwa kweli mimi nimesoma mwanza pale saut,kiukweli masha hapendwi na wananyamagana,mwaka 2005 alishinda kwa sababu hakukuwa na mpinzani wa kweli na mwenye uwezo kama wenje,wenje ni classmate ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja kuliko lau,go wenje go mate,wanasaut na wahadhiri wooote kura kwa kijana wenje.
 
Back
Top Bottom