Nadhani hukumuelewa mwenzio kwani amemzungumzia Masha kuwa ndiye aliyecheza faulo hiyo na si Wenje.Huo ni uzushi mtupu, Wenje anachangiwa hata mafuta ya gari atatoa wapi pesa za kuwahonga wanafunzi wa CBE? hizo tabia halisi za CCM haziwezi kuigwa na CHADEMA. HIvi sasa Wenje yuko uwanja wa Milongo wakati JK yuko viwanja nvya Sahara ,lakini huwezi amini idadi ya mahudhurio ya Wenje yalivyo.