Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Udom walishawishiwa waandamane hadi bungeni,walipofika pale namba za kina lissu na mdee na lema zikazimwa.sasa hapa udsm dawa bado inaendelea kuchemka zaidi,si mmezoea kupambishwa mnapewa buku ten ten kuwaridhisha mabwana zenu?siku ya mwisho mnamlaum kikwete.wehu sana nyie.