Mleta mada umekaririshwa kukosoa,Jk yuko very right, kama ishu ni maendeleo wangezungumzia kupewa mrahaba wa gesi itayovunwa badala ya kulazimisha eti gesi ikichimbwa Mtwara watapata Ajira, kwan pamoja na wingi wa Viwanda vilivypo Dsm unaweza kuthubutu kusema vimewanufaisha wazaramo kiajira? Mnajua kuwa Mama Anna Abdala alipokuwa waziri wa Afya alijitahidi kupeleka NGO nyingi mtwara kuliko sehem nyingine yoyote hapa nchini lakini bado waliopata ajira ni watu wa maeneo mengine wenye sifa za ajira, Nani kakwambia gesi ikichimbwa mtwara Chale za usoni ndo itakuwa Qualification ya Ajira? Madini yanachimbwa shinyanga je kuna kitu cha kujivunia kwa wasukuma?. Kitu cha msingi ni uwepo wa uadilifu wa pesa itokanayo na gesi.