Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,010
Hivi ni kwanini Rais Kikwete hataki kuamini kuwa timu yake ya usalama nchini inaliangusha taifa na haina maono mapya ya kusimamia usalama? Matukio kadhaa yaliyotokea nchini ndani ya mwaka huu peke yake yanathibitisha kubomoka kwa mfumo wa usalama. Kikwete amekuwa na watu hawa kwa karibu miaka sita sasa na matukio yaliyotokea chini yao ingekuwa nchi nyingine hawa wangekuwa wa kwanza kuondolewa. Hivi hadi nini kitokeeawa ndio atajua watendaji hawa wa vyombo vya usalama ni janga kwa taifa?
Hivi hadi aje kusikia kuna waziri kauawa au kundi la wabunge wametekwa nyara? Inawezekana vipi watu hawa wakaendelea kuaminiwa kusimamia usalama nchini wakati matukio ya kutisha na yanaendelea kutokea na sasa imefika mahali kwa kweli ni point of no return? Mwisho wa siku itabidi waanze kutumia mbinu za kimafya kwani mbinu za kawaida za kiusalama zimeshindikana! Wameshindwa na hawawezi tena!!
FIRE THEM; KWANINI HAWAONDOLEWI?
Kwanini wao wenyewe hawaondoki!!?
Mara nyingi tunalaumiwa kwa kukosoa tu na kuwa hatupendekezi nini kifanyike; well wafukuze hawa kwanza kama hatua ya kwanza halafu waingize watu ambao wanaongozwa na weledi na siyo urafiki au ujamaa na wewe! Au mtatuambia tusubiri kutoa maoni kwenye tume ya katiba mpya!
Hivi hadi aje kusikia kuna waziri kauawa au kundi la wabunge wametekwa nyara? Inawezekana vipi watu hawa wakaendelea kuaminiwa kusimamia usalama nchini wakati matukio ya kutisha na yanaendelea kutokea na sasa imefika mahali kwa kweli ni point of no return? Mwisho wa siku itabidi waanze kutumia mbinu za kimafya kwani mbinu za kawaida za kiusalama zimeshindikana! Wameshindwa na hawawezi tena!!
FIRE THEM; KWANINI HAWAONDOLEWI?
Kwanini wao wenyewe hawaondoki!!?
Mara nyingi tunalaumiwa kwa kukosoa tu na kuwa hatupendekezi nini kifanyike; well wafukuze hawa kwanza kama hatua ya kwanza halafu waingize watu ambao wanaongozwa na weledi na siyo urafiki au ujamaa na wewe! Au mtatuambia tusubiri kutoa maoni kwenye tume ya katiba mpya!