Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
kuna wengine wamempima kwa viatu- viatu alivyovaa ni vikubwa,tena sana-hata kutembea vizuri hawezi. yaani watanzania tumembebesha mzigo mtu ambae hana uwezo kabisa na huo mzigo, wala hawezi hata kufikiri mbinu za kumfanya aweze kubeba japo kidogo kidogo, full mzigo umemweka chini. angekuwa mzungu nafikiri angeshajiuzulu, ndio maana sana sana amebaki kutumia jeshi kama kinga yake, sumu ya udini, walio wa dini yake wasione huu udhaifu wamtetee n.k. mi naomba tu Mungu atufikishe salama hadi tutakapotua huu mzigo, maana yeye ndio amegeuka mzigo kwetu.