rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
leo imetangazwa kuwa kikwete amehairisha safari yake ya ughaibuni ili kuhani msiba wa Kanumba.naomba kujua alitaka kwenda wapina kufanya nini,je msiba wa mtu kama kanumba unaweza kumfanya Rais wa nchi kuahirisha safari??je hizi safari za huyu mtu zina manufaa gani kwa taifa kama anapanga kusafiri na kuhairisha ghafla??huyu mtu ana akili au amepewa nguvu nyingi anazo shindwa kudhibiti???