Kikwete safarini Marekani!

Kikwete safarini Marekani!

Anaenda kupumzika jamani...Nimeipata hii sehemu ...naona akina Mkere atapata moto...Obama wao wamezoea kuwekwa na picha za namna hii ..jamaa wetu akiona duh ..nakumbuka zeutamu ilivyopigwa chini.

Hujipendi wewe!
 
Natamani tungeweza kujimobilise, kwenda airport cku hiyo nyomi ya kutosha tukamzuia pale, na irushwe LIVE na vyombo vya kimataifa.labda angebadilika

Na huu woga tutathubutu?Sisi ni wepesi sana kwenye key board ila ukisema watu waje front,inakula kwako!!Si umeona issue za walimu,madaktari?

Labda tuhakikishe tumewahamisha kwanza 'wanaharakati'
 
WTF is arbor day???


Ni Hii!


arbor_day_2012.PNG





 
Kama ni kweli basi safari yake itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za taifa letu.
Arbor Day it's an unofficial US holiday when people plant trees and it is celebrated on different days in different states of the US and school children often take part in it! ooh what a waste!
 
Mbona hili alikwisha litolea maelezo mara nyingi au hamuelewi?????? "Siwezi kukaa ikulu namtazama tu............nisiposafiri nje mtakufa njaa"
 
Mkwerè kwa Kujipendekeza hajambo. Zee zima kurandaranda nchi za watu haoni aibu.

japokuwa wanasema dua la kuku halimpati mwewe, mi kila siku naomba huyu jamaa apate ajali afe na washauri wake wote! Hope ipo siku Mungu atasikia ombi langu.
 
Arbor Day 2012
April 27, 2012 in the USA

Arbor Day is in 2012 on the 27th of April. Arbor Day is a holiday in which individuals and groups are encouraged to plant and care for trees. It originated in Nebraska City, Neb., in the United States in 1872. J. Sterling Morton is the founder of Arbor Day. The first Arbor Day (from the Latin arbor, meaning tree) was held on April 10, 1872, and an estimated 1 million trees were planted that day.
 
Mungu baba saidia nchi hii rais kazi yake kusafiri makamu wake kukata utepe! Baba angalia taifa hili
 
Rais Kikwete ni mmojawapo ya viongozi wa Kiafrika, ni kiongozi wa amani katika muda huu, anayeongoza nchi inayosadikiwa kuwa ni tajiri sana duniani hususani katika suala la rasilimali za asili,lakini anaongoza duniani kwa kuwa ombaomba, makampuni ya kigeni yameshajua kuwa Tanzania ni nchi huru sana tena rahisi, ambapo mtu yeyote anaweza kwenda na kuchukua vyote kadiri anavyoweza bila kuulizwa, Sipati picha akili za viongozi wa Tanzania zikoje hasa Kikwete Rais wa nchi anayeabudu wazungu. Kwa kipindi cha miaka nane (8) niliyofanya kazi nchini Tanzania nikiwa mfanyakazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP), niligundua namna viongozi wan chi ile wasivyo na uwezo na ni wala rushwa. Uongozi wan chi ile umejaa rushwa, hata mawaziri wake walioomba na kupokea rushwa katika Kampuni ya BAE System katika sakata la rada hawajawahi kuchukuliwa hatua pamoja na ushahidi wa wazi uliopatikana. Walipa kodi wa uingereza wanapaswa kuacha kabisa kufadhili safari zake nyingi za nje……. Kikwete hakupaswa kwenda Davos kuomba, alipaswa kuona aibu kuiambia dunia kuwa Tanzania ni nchi masikini, watu wake wanaishi katika uchumi usioweza kutengeneza hata ziada ndogo (hand to mouth economy), hata ukilinganisha uchumi wa nchi ndogo kama Palestina, Haiti, Lebanon Rwanda hata Somalia, uchumi wao pengine una nguvu zaidi kuliko wa Tanzania. Tunapaswa kuishangaa nchi yeyote duniani inayokaribisha na kuendekeza utani wa aina hii kwa kigezo cha kutoa misaada kwa Tanzania. Kikwete anapaswa azuiliwe kusafiri nje ya nchi, “no fly zone” ili awe makini………………”
 
Jenerali Ulimwengu: Inasikitisha... tumefanikiwa kujenga nchi ya watu wasiopenda kujua, wasiopenda kujifunza, kusaili, kudodosa, kuuliza na kujiuliza maswali. Tumekuwa watu wa kuangalia mambo juu tu, na kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu, jamii iliyojaa upuuzi.

HATA HIVYO
Nasikia nchi amewaachia wazee wa dar, KWAKUWA:
- makamu wake yuko bize na kukata utepe, kuzindua na kuweka mawe ya msingi.
- waziri mkubwa hana mamlaka yeyote.
 
Mzungu kutoka Uingereza anasema: Rais Kikwete ni mmojawapo ya viongozi wa Kiafrika, ni kiongozi wa amani katika muda huu, anayeongoza nchi inayosadikiwa kuwa ni tajiri sana duniani hususani katika suala la rasilimali za asili,lakini anaongoza duniani kwa kuwa ombaomba, makampuni ya kigeni yameshajua kuwa Tanzania ni nchi huru sana tena rahisi, ambapo mtu yeyote anaweza kwenda na kuchukua vyote kadiri anavyoweza bila kuulizwa, Sipati picha akili za viongozi wa Tanzania zikoje hasa Kikwete Rais wa nchi anayeabudu wazungu. Kwa kipindi cha miaka nane (8) niliyofanya kazi nchini Tanzania nikiwa mfanyakazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP), niligundua namna viongozi wan chi ile wasivyo na uwezo na ni wala rushwa. Uongozi wan chi ile umejaa rushwa, hata mawaziri wake walioomba na kupokea rushwa katika Kampuni ya BAE System katika sakata la rada hawajawahi kuchukuliwa hatua pamoja na ushahidi wa wazi uliopatikana. Walipa kodi wa uingereza wanapaswa kuacha kabisa kufadhili safari zake nyingi za nje……. Kikwete hakupaswa kwenda Davos kuomba, alipaswa kuona aibu kuiambia dunia kuwa Tanzania ni nchi masikini, watu wake wanaishi katika uchumi usioweza kutengeneza hata ziada ndogo (hand to mouth economy), hata ukilinganisha uchumi wa nchi ndogo kama Palestina, Haiti, Lebanon Rwanda hata Somalia, uchumi wao pengine una nguvu zaidi kuliko wa Tanzania. Tunapaswa kuishangaa nchi yeyote duniani inayokaribisha na kuendekeza utani wa aina hii kwa kigezo cha kutoa misaada kwa Tanzania. Kikwete anapaswa azuiliwe kusafiri nje ya nchi, “no fly zone” ili awe makini………………”
 
Mzungu kutoka Uingereza anasema: Rais Kikwete ni mmojawapo ya viongozi wa Kiafrika, ni kiongozi wa amani katika muda huu, anayeongoza nchi inayosadikiwa kuwa ni tajiri sana duniani hususani katika suala la rasilimali za asili,lakini anaongoza duniani kwa kuwa ombaomba, makampuni ya kigeni yameshajua kuwa Tanzania ni nchi huru sana tena rahisi, ambapo mtu yeyote anaweza kwenda na kuchukua vyote kadiri anavyoweza bila kuulizwa, Sipati picha akili za viongozi wa Tanzania zikoje hasa Kikwete Rais wa nchi anayeabudu wazungu. Kwa kipindi cha miaka nane (8) niliyofanya kazi nchini Tanzania nikiwa mfanyakazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP), niligundua namna viongozi wan chi ile wasivyo na uwezo na ni wala rushwa. Uongozi wan chi ile umejaa rushwa, hata mawaziri wake walioomba na kupokea rushwa katika Kampuni ya BAE System katika sakata la rada hawajawahi kuchukuliwa hatua pamoja na ushahidi wa wazi uliopatikana. Walipa kodi wa uingereza wanapaswa kuacha kabisa kufadhili safari zake nyingi za nje……. Kikwete hakupaswa kwenda Davos kuomba, alipaswa kuona aibu kuiambia dunia kuwa Tanzania ni nchi masikini, watu wake wanaishi katika uchumi usioweza kutengeneza hata ziada ndogo (hand to mouth economy), hata ukilinganisha uchumi wa nchi ndogo kama Palestina, Haiti, Lebanon Rwanda hata Somalia, uchumi wao pengine una nguvu zaidi kuliko wa Tanzania. Tunapaswa kuishangaa nchi yeyote duniani inayokaribisha na kuendekeza utani wa aina hii kwa kigezo cha kutoa misaada kwa Tanzania. Kikwete anapaswa azuiliwe kusafiri nje ya nchi, “no fly zone” ili awe makini………………”


What does "mzungu kutoka Uingereza" mean? Sisemi kwamba unachosema ni uongo kwa sababu huu ukweli wote tunaufahamu lakini unaharibu credibility ya information yako unaposema source yako ni "mzungu kutoka Uingereza" kwa sababu kwa wengi wetu hiyo haina tofauti na kusema "Mpare kutoka Usangi" au "Mngoni kutoka Songea".
 
Mzungu kutoka Uingereza anasema: Rais Kikwete ni mmojawapo ya viongozi wa Kiafrika, ni kiongozi wa amani katika muda huu, anayeongoza nchi inayosadikiwa kuwa ni tajiri sana duniani hususani katika suala la rasilimali za asili,lakini anaongoza duniani kwa kuwa ombaomba, makampuni ya kigeni yameshajua kuwa Tanzania ni nchi huru sana tena rahisi, ambapo mtu yeyote anaweza kwenda na kuchukua vyote kadiri anavyoweza bila kuulizwa, Sipati picha akili za viongozi wa Tanzania zikoje hasa Kikwete Rais wa nchi anayeabudu wazungu. Kwa kipindi cha miaka nane (8) niliyofanya kazi nchini Tanzania nikiwa mfanyakazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa (UNDP), niligundua namna viongozi wan chi ile wasivyo na uwezo na ni wala rushwa. Uongozi wan chi ile umejaa rushwa, hata mawaziri wake walioomba na kupokea rushwa katika Kampuni ya BAE System katika sakata la rada hawajawahi kuchukuliwa hatua pamoja na ushahidi wa wazi uliopatikana. Walipa kodi wa uingereza wanapaswa kuacha kabisa kufadhili safari zake nyingi za nje……. Kikwete hakupaswa kwenda Davos kuomba, alipaswa kuona aibu kuiambia dunia kuwa Tanzania ni nchi masikini, watu wake wanaishi katika uchumi usioweza kutengeneza hata ziada ndogo (hand to mouth economy), hata ukilinganisha uchumi wa nchi ndogo kama Palestina, Haiti, Lebanon Rwanda hata Somalia, uchumi wao pengine una nguvu zaidi kuliko wa Tanzania. Tunapaswa kuishangaa nchi yeyote duniani inayokaribisha na kuendekeza utani wa aina hii kwa kigezo cha kutoa misaada kwa Tanzania. Kikwete anapaswa azuiliwe kusafiri nje ya nchi, "no fly zone" ili awe makini………………"

Mkuu jioni ya leo nimemcikia Naibu Spika akiongea BBC.. akasema suala la kuwachukulia hatua wote waliohucika na ulaji rushwa limekuwa gumu kwa sababu kampuni ile ya kuuza rada imemaliza kesi nje ya mahakama.. Kwa hiyo alimaanisha ati itakuwa ngumu kuwatia hatiani waliohucika..!
 
Back
Top Bottom