Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
nimeshangaa kweli! kila kazi afanye rais! kukagua shamba yeye, kutangaza nchi yeye!! tatizo liko wapi au alikuwa anauza sura? tangazo kama hili ilifaa wapewe dada zetu wautangaze uzuri wa nchi yetu.
halafu kuna wengine mlikuwa mnabisha hakuwepo kwenye hiyo mechi. huyo hapo sasa!
Chanzo
Last edited by a moderator: