Kikwete promoting Tanzania during half time ! Duh!

Shomari

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,112
241



nimeshangaa kweli! kila kazi afanye rais! kukagua shamba yeye, kutangaza nchi yeye!! tatizo liko wapi au alikuwa anauza sura? tangazo kama hili ilifaa wapewe dada zetu wautangaze uzuri wa nchi yetu.

halafu kuna wengine mlikuwa mnabisha hakuwepo kwenye hiyo mechi. huyo hapo sasa!

Chanzo
 
Last edited by a moderator:
Hehhe hivi hujui anapendelea sana kazi ya umodo pia soon utamuona kwenye runaway!!
 
kama hamjui hospitality indusrty inahitaji nini basi sio lazima kila kitu mkejeli, kwa wenzetu watu wakubwa au maarufu wana influence katika jamii, na watu wanaweza kufanya kile watu kama hao maarufu au wenye cheo flani kufanya, hapo ni president anatangaza nchi na anakaribisha watu nchini kwake, watu wengi kwa kuwa katangaza rais wanaweza kuwa motivate na kutembelea nchi yetu, hivyo basi wakija, wataleta hela zao na wataziacha maeneo mbalimbali, kuanzia kwenye usafiri, malazi na viingilio katika mbuga zetu na maeneo mengine ya utalii,labda wengi hujiiuliza mtanzania wa kawaida anafaidika na nini? haya basi, mapato yanayopatikana hutumika katika shughuli nyingine za kijamii, na hivyo jamii inafaidika kwa njia moja au nyingine, mapato mengine huweza kutumika katika kuwekeza katika vivutio vyetu na miundombini, hivyo kazi kibao kwa wananchi, duu, naishia hapa
 
kama hamjui hospitality indusrty inahitaji nini basi sio lazima kila kitu mkejeli, kwa wenzetu watu wakubwa au maarufu wana influence katika jamii, na watu wanaweza kufanya kile watu kama hao maarufu au wenye cheo flani kufanya, hapo ni president anatangaza nchi na anakaribisha watu nchini kwake, watu wengi kwa kuwa katangaza rais wanaweza kuwa motivate na kutembelea nchi yetu, hivyo basi wakija, wataleta hela zao na wataziacha maeneo mbalimbali, kuanzia kwenye usafiri, malazi na viingilio katika mbuga zetu na maeneo mengine ya utalii,labda wengi hujiiuliza mtanzania wa kawaida anafaidika na nini? haya basi, mapato yanayopatikana hutumika katika shughuli nyingine za kijamii, na hivyo jamii inafaidika kwa njia moja au nyingine, mapato mengine huweza kutumika katika kuwekeza katika vivutio vyetu na miundombini, hivyo kazi kibao kwa wananchi, duu, naishia hapa

Naomba unielewe NDINDA sijamaanisha amefanya vibaya , ni jambo zuri kutangaza nchi yako. lakini kweli ina maana majukumu yote anapaswa kuyafanya rais?, inabidi tujifunze kuwa wabunifu tena ikibidi hata kama ni kuiga yaliyo mazuri kutoka kwa wenzetu.
 
Naomba unielewe NDINDA sijamaanisha amefanya vibaya , ni jambo zuri kutangaza nchi yako. lakini kweli ina maana majukumu yote anapaswa kuyafanya rais?, inabidi tujifunze kuwa wabunifu tena ikibidi hata kama ni kuiga yaliyo mazuri kutoka kwa wenzetu.

poa mkuu nimekupata
 
Naomba mnisamehe Nilidhani hizi kazi zinawafaa akina Jokate au Wema Sepetu & Co....kumbe hata amiri jeshi mkuu? pheww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom