zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Sina haja ya kuwaponda madaktari.
Baada ya Kikwete kuwaaambia waache kazi kama wanaona mshahara hauwatoshi, leo huduma za tiba zimerejea Mahospitalini.
Sina haja ya kusema madaktari ziiiii. Nasema nampongeza Kikwete kwa kuwa mkweli na muwazi na kuweka msimamo wake kisha kukwaa pipa kuelekea kwa jirani mwema Rwanda.
Madaktari na wao nawapa hongera kwani wameona kuwa walikuwa wanafanya makosa na hakuna faida kwao, wala kwa taifa, wala kwa wagonjwa.
Haya yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Baada ya Kikwete kuwaaambia waache kazi kama wanaona mshahara hauwatoshi, leo huduma za tiba zimerejea Mahospitalini.
Sina haja ya kusema madaktari ziiiii. Nasema nampongeza Kikwete kwa kuwa mkweli na muwazi na kuweka msimamo wake kisha kukwaa pipa kuelekea kwa jirani mwema Rwanda.
Madaktari na wao nawapa hongera kwani wameona kuwa walikuwa wanafanya makosa na hakuna faida kwao, wala kwa taifa, wala kwa wagonjwa.
Haya yaliyopita si ndwele tugange yajayo.