Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 631
Kama una akili sawasawa utagundua ni maongezi yaliyoandaliwa kwani hata aliyozungumza asubuhi karudia vile vile jamani tunaelekea wapi watz??!???!
KAzI kWEnU...........
KAzI kWEnU...........
Hivi,hali ya nchi ilimaanisha hali ya hewa????
Siku zote hizo alikuwa anajitungia maswali ya kuulizwa. leo ndio kaibuka, kweli kiboko sasa kasema anataka mwalimu mmoja afundishe wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kupitia fibre optic cable umeme anao?
kasema serikali ina mpango wa kufundisha walimu wengi zaidi ili kuinua kiwango cha elimu, wachache waliopo sasa wanampa tabu kuwalipa.
eti pia wana mpango wa kutoa huduma za afya kwa e-medicine yaani daktari akiwa marekani anaelekeza mtu anapasuliwa tanzania, wale jamaa wa muhimbili waliopasuliwa vichwa badala ya miguu walikuwa wanapata maelekezo wakiwa na mtaalam hapohapo, hivi wakiwa wanapokea maelekezo kutoka unyamwezini kupitia screen tutapona kwel,i si watatukata shingo kabisa?
:director::director::director::hurt::hurt::blah::blah::clap2::clap2::a s thumbs_down:
Jafar mimi nitakuwa tofauti kidogo na wewe, kwanza thanks kwa kutoa elaboration nzuri sana..ila first question was real good, according to what i understood from the person aliyeuliza swali...it was like this " Umefanya kampeni nchi nzima, karibu kila eneo" Hebu tupe hali unanionaje......muulizaji hapa alimaanisha" hali ya maisha ya watu, maendeleo yao, hatua gani serikali yake inachukua katka kuondoa hayo mapungufu yaliyobaki (Kama watakuwa wamefanya part). Bahati mbaya the so called mgombea hata hakuelewa.......the same to Kibonde, swali lilionekana gumu pamoja na kwamba alikuwa ameshaandaliwa majibu....kichwa cha panzi.....