Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Mpita Njia

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
6,997
1,163
Waulizwa maswali wamepangwa, wengine hawaruhusiwi kuuliza. Mambo yameanza. Kabla hajaanza kujibu, kwanza anacheka.

Suzan Mungi-Style ya kampeni, unawanadi wabunge baadhi ya wananchi wanalalamika unawanado baadhi ya wabunge wenye kesi mahankamani na kesi nzito tu. Wewe unalionaje hili?

JK-Hao ndio nilio nao na ni kweli wengine wana kesi, Hata wakati wa uteuzi kulikuwa na mjadala, lakini tukasema tuhuma si hatia
 
Masako wa ITV-Asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wanategemea kilimo, miaka mitano iliyopita, bado wana matatizo ya masoko na wanauza kwa bei anayotaka mnunuzi. Umefanya nini kuwasaidia, na miaka mingine mitano umepanga kuwafanyia nini?

JK-Tumepanua lilomo cha umwagiliaji, katika ASDP asilimia 75 ya pesa ni za umwagiliaji kuongeza matumizi ya mbegu bora, mbolea, madawa, maofisa kilimo wawafundishe wakulima kanuni za kilimo bora, kuboresha masoko na bei, kuboresha barabara, kuanza safari polepole lkn kwa uhakika kutoka kutegemea jembe la mkono tutumie matrekta.
 
sijapenda hata kidogo anavyotetea sera yake ya kuwanadi watuhimiwa wanaogombea ubunge wakati wana kesi mahakamani boring :tape:
 
masako kauliza swali kuhusu kilimo na suzana mungi kauliza swali kuhusu mafisadi aliowannadi kikwete.
 
Mi kanikera jinsi alivyojibu ishu ya mramba? Very low kwa kweli!
 
Hana mvuto? hivi anaongelea hali ya nchi au anazungumzia uchaguzi??? mambo ya mvua na huu.... anaouzungumzia unakujaje? mambo ya miradi yanakuje tena hapa? i dont understand this broda
 
Huyu mzee Jk amesema mafisadi ni watuhumiwa na hivyo wanaweza kushinda kesi ndo maana anawapigia kampeni
 
Back
Top Bottom