Msafara wa Raisi unatakiwa na Doctor 1, walinzi 2, mpiga picha 1, Waandishi wa habari 2, mpiga pasi 1, Maofisa wa usalama wa taifa 2, mwandika hotuba 1, washauri wa Raisi 2, mpishi 1, watu wa protokali 2 na first lady.
Hivyo kuwa na watu 16 ni sawa kabisa na kwa kweli Mh Raisi ameweza kusikia kilio cha watanzania kwa kupunguza idadi ya watu katika misafara yake.