Kikwete nje ya nchi na watu kumi na sita 16 ati wanaita ujumbe.....!!

Picha unazoziona zimepigwa na wapiga picha wake, haiwezekani asiende na wataalamu wa masuala yaliyompeleka, nafikiri unamuamini sana Zito kuwa ana mawZo mazuri sana, lakini alikubali kuongozana na mkuu wa nchi badala ya kubaki ili asilipwe posho, tena ameleta picha kapiga na spika mstaafu, nafikiri ungetumia asilimia mbili tu ya akili yako usingelalamika idadi ya watu 16, siku chache zilizopita walinzi 11 wa obama walirudishwa, naongelea 11,
 

Tatizo lako ni ufinyu wa mawazo, ikiwa Slaa tu sio Rais na anasafiri na Josephine, Hausigeli na bebi boi na mlinzi na dereva. Wangapi hao? ukipata jibu jiulize Rais kwenda na watu 16 ni wengi? kama unawaona ni wengi nadhani hujui maana ya Rais.

Kwa kuongezea tu, safari hii ni mwaliko wa G8, ujuwe wana cover costs zote.
 
jk anadhani anawaongoza watz kweli?mi ninavyojua mpaka sasa hv ni muhudumu wa chai kwenye ndege,maana hizo trip too much!,Vasco dagama ilizunguka kwasababu ambazo hv leo zimemfanya awekwe kwenye historia ya kimataifa na pia alizunguka kwa faida sio hasara km huyo jk
 

mperndwa,

nakubaliana na wewe mia kwa mia!!,

kwa anayejua "msafara wa rais" maana yake nini, atakuwa amekuelewa. mimi baba yangu alikuwa DC, msafara wake siku zote ulikuwa na idadi sawa na watu hao, so kama kweli rais kasafiri na watu hao tu, anahitaji kupongezwa sana kwa kulionea huruma taifa letu!!

mbarikiwe sana wapendwa,

Glory to God!
 

nakubaliana na wewE mia kwa mia.

mie natoka familia ya kisiasa, katika misafari kama hiyo kuna kitu kinaitwa "regional balance" kitu hiki kipo pia katika uteuzi wa mawaziri na manaibu waziri na hata wakuu wa mikoa na wilaya. ukikijua vizuri, utamujelewa rais wetu.

narudia TENA KAMA NILIVYOSEMA KABLA, KAMA KWELI RAIS KASAFIRI NA WATU 16 TU, BASI ANATAKIWA KUPONGEZWA SANA KWA UJASIRI WAKE NA UZALENDO WAKE KWA KULIONEA HURUMA TAIFA LEYU

MBARIKIWE SANA WAPENDWA,

GLORY TO GOD!
 
Kwa ushindi wa Chelsea atapita Uk kumpongeza Drogba kwa ushindi na kumwalika Tz aje kuona watakavyoshirkiana na Tenga kuinua soka la Tanzania. Si unajua Beckam yupo njiani? lol!
 
Jk kanyaga twende,Hata Mwl Nyerere msafara wake ulizid watu 16! Tunakuelewa,tunakuthamini,tunakuheshim na tunakupenda,Bila ya kuwadhibiti yale majambaz ya mabenk leo hii wasingekuwa wanakuponda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…