Picha unazoziona zimepigwa na wapiga picha wake, haiwezekani asiende na wataalamu wa masuala yaliyompeleka, nafikiri unamuamini sana Zito kuwa ana mawZo mazuri sana, lakini alikubali kuongozana na mkuu wa nchi badala ya kubaki ili asilipwe posho, tena ameleta picha kapiga na spika mstaafu, nafikiri ungetumia asilimia mbili tu ya akili yako usingelalamika idadi ya watu 16, siku chache zilizopita walinzi 11 wa obama walirudishwa, naongelea 11,