Huyu Rais mtalii yuko safarini na watu kumi na sita 16,sasa la kujiuliza ni kwamba hawa watu wote wanaenda kufanya nini na wote hawa lazima walipwe so hapa si ndo kule kutafuna Taifa au tuseme wanatafuna chapaa za walipa kodi.Hivi huyu jamaa anaitakia nini nchi hii maake its too much kwa nini asiende na watu hata 3 ukiongeza mabodigadi,Dr na mke wake?
Poleni sana kwa wale wote walioshiriki kumpa kula badala ya kura wakati ulee wa uchaguzi na kuchakachua matokeo,poleni sana kwa maisha magumu na bidhaa feki hiki ndo kipindi chenu Watanganyika na bado miaka 3 safi kabisa mtakula nyasi
Poleni sana kwa wale wote walioshiriki kumpa kula badala ya kura wakati ulee wa uchaguzi na kuchakachua matokeo,poleni sana kwa maisha magumu na bidhaa feki hiki ndo kipindi chenu Watanganyika na bado miaka 3 safi kabisa mtakula nyasi