Kikwete ni Bonge la Rais

Kigarama

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2007
Posts
2,492
Reaction score
1,239
Kwa tabia yake ya kutostushwa na jambo lolote hata liwe baya kiasi gani, Kikwete ameonyesha ni bonge la Amiri Jeshi Mkuu. Kwa kutumia nguvu nyingi kuhalalisha mishahara "kiduchu" kwa wafanyakazi wa Tz amethibitisha kwamba yeye ni Chaguo la Mungu

Uwezo wake wa kuzima hoja ya Kadhi kwa kumtupia Lawama Augustine Mrema na Juma Ngasongwa ameonyesha yeye ni mtu mwenye uwezo wa hali ya Juu wa mazingaombwe.

Kwa kusema kwake kwamba watoto wa tanzania wataanza kutumia Kompyuta kusomea wakati hata madawati na madarasa ya kutosha hakuna, amethibitisha yeye hawezekaniki.

Magari yake anayosafiria yanapozimika zimika na kutoka matairi yeye anaona ni mipango ya Mungu. Kwa KWELI Kikwete ni bonge la Rais ambaye hajapata kutokea Tanzania na hatapata kutokea katika nchi yetu!!
 
Anastahili kuwa mwenyekiti wa kijiji, NO, sorry nilmaanisha balozi wa nyumba kumi kumi kijiji cha mwanzo mgumu!
Hivi alipataje jukumu la kuongoza taifa la watu Milioni 40?
Hivi katika sheria za uchaguzi, hakuna kipengele cha kimpima mgombea akili ili ijulikane kama ana akili timamu ama la?
Naona jamaa, haso got probs kichwani, na uwezo wakufikiri is below zero mark!
 
Ha ha ha, umenipa raha asubuhi hii... Monday Morning yangu kidogo inakuwa na unafuu
 

Ingawa amefanya jambo jema sana. swali linalonikuna hapa ni kuwa hizo pesa Kikwete kazitoa kwenye bajeti gani.
 
Heeeeeeeeee

Hiiii kweli Blue Monday.tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe:A S-eek::roll:😛ound:
 
Mimi nilifikiri binge kwa unene...na kwa kuwa sijamwangalia siku nyingi nikadhani kanenepa ghafla
 
BRAAAAAAAAAAAAAAAAA:lalala::lalala: HILA SAMAHANI MKUU SINA LA KUSEMA KWA PRESADAA HUYU
 
JK ni Bonge la Rais na ndiyo maana ni Mwenyekiti wa Chama chetu kinacho jenga Nchi kuu kuu
 
rais wa marekan lincoln aliwahi kusema hakuna mtu yeyote duniani mwenye uwezo wa kutawala binadamu yeyote mpaka apate ridhaa yake. kwa hiyo ndugu yangu JAXONWAZIR naona mchezo huo hata mwaka huu utajirudia tena. hebu tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…