Manyanza JF-Expert Member Nov 4, 2010 9,408 14,155 May 3, 2012 #1 ilikuwa mwaka 1995 pale Chimwaga , Dodoma Jakaya Kikwete alipokubali kumwachia Benjamin Mkapa nafasi ya kugombea uraisi
ilikuwa mwaka 1995 pale Chimwaga , Dodoma Jakaya Kikwete alipokubali kumwachia Benjamin Mkapa nafasi ya kugombea uraisi
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 May 3, 2012 #2 Aisee hapa hawa jamaa walikua ni MaBrother Man!
Manyanza JF-Expert Member Nov 4, 2010 9,408 14,155 May 3, 2012 Thread starter #3 Ndallo said: Aisee hapa hawa jamaa walikua ni MaBrother Man! Click to expand... kinoma umemuona Benja alivyokua Tozi?
Ndallo said: Aisee hapa hawa jamaa walikua ni MaBrother Man! Click to expand... kinoma umemuona Benja alivyokua Tozi?
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 May 3, 2012 #4 watu hawa wamei cost hii nchi..malima, mkapa etc
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 May 3, 2012 #5 Hapo hiyo hoyee itoka wapi? Nilifikiri kafanya jambo zuri lenye maslahi kwa Taifa kama kuwawajibisha mawaziri 8 wezi kumbe kamkumbatia mfk ben
Hapo hiyo hoyee itoka wapi? Nilifikiri kafanya jambo zuri lenye maslahi kwa Taifa kama kuwawajibisha mawaziri 8 wezi kumbe kamkumbatia mfk ben
A Awo JF-Expert Member Apr 12, 2010 792 476 May 3, 2012 #6 Si alishindwa duru ya pili ya uchaguzi? Sasa kwanini unasema 'alipomuachia'? Acheni ushabiki usiokuwa na maana. Kama unampenda sana kanywe nae chai.
Si alishindwa duru ya pili ya uchaguzi? Sasa kwanini unasema 'alipomuachia'? Acheni ushabiki usiokuwa na maana. Kama unampenda sana kanywe nae chai.
Manyanza JF-Expert Member Nov 4, 2010 9,408 14,155 May 3, 2012 Thread starter #7 Awo said: Si alishindwa duru ya pili ya uchaguzi? Sasa kwanini unasema 'alipomuachia'? Acheni ushabiki usiokuwa na maana. Kama unampenda sana kanywe nae chai. Click to expand... duh! Povu la nini?
Awo said: Si alishindwa duru ya pili ya uchaguzi? Sasa kwanini unasema 'alipomuachia'? Acheni ushabiki usiokuwa na maana. Kama unampenda sana kanywe nae chai. Click to expand... duh! Povu la nini?