Kikwete kulalamika majukwaani

Kikwete kulalamika majukwaani

Kwa nini kashindwa hata kumtaja jina Lowasa kama mmliki wa richmond , kwa nini hakusema live "richmond ni ya Lowasa" kama alivyosema Tundu Lisu kwamba richmond ni ya Kikwete?
Kama richmond ni ya Lowasa Dowans na symbion ni za nani?
Kama Lowasa ni mmiliki wa richmond kwa nini JK aliruhusu apewe mafao ya uwaziri mkuu mstaafu kwa miaka 8 na kwa nini baada ya kujiuzulu uwaziri mkuu JK alimpa usimamizi wa kazi za serikali kama ujenzi wa shule za kata, na kwa nini JK aliruhusu lowassa ashike uenyekiti wa kamati ya usalama wa bunge?
Kama richmond ni ya Lowasa na JK anafahamu kama anavyodai, kwa nini mpaka sasa hivi Lowasa anakatiza mikoani kuomba kura za uraisi badala ya kuwa jela?

Ilikuwa funika kombe mwanaharam apite !!! ila Richmond in ya kikwete,,,,,
 
Nasubiri siku jk atakapo mwaga ukweli wote wa escrow na hivyo kumfanya lowassa kuanguka kwa aibu ktk sanduku la kura.

Ndugu, Unazungumzia Escrow au Richmond. Nadhani kashfa ni nyingi hadi zinawachanganya Watanzania
 
Edo akae kwenye mdahalo na six na mwaki kwano hao ndio anaogombea nao urais? Mbona muda mwingine mnakuwa irrelevant?
 
kama ni kujiuzulu Kikwete anastahiki kutangaza mara moja amejiuzulu ,yaani kesho ajitokeze na kutangaza ,ni aibu kuendelea kuitwa Raisi wa nchi ,kwa sababu Raisi inakuwaje alalamike kwenye majukwaa kwamba fulani anefuatana na Lissu ndie fisadi linalohusika na Richmond ,

Na Lisu nae amemjibu Kiwete kwamba yeye ndie anaemiliki dili la richmond ,raisi ameshindwa tena ameshindwa katika dakika za mwisho.

Sijui tuitishe maandamano Nchi nzima kumutaka raisi ajiuzulu kwa kuwa anajibizana kwenye majukwaa baada ya kuchukua sheria.

Wewe huna akili kweli ndugu yangu, unadhani RAIS ni kama baba yako? unaonekana hata shule hujaenda maana unakurupuka tu kama unaenda kupokea chakula cha njaa, kwani alichoksea yeye kumtaja ni nini? Lisu yeye kawakumbatia na sasa anajifanya kuwasafisha hao mapapa, kwanza amekuwa mtu wa kukurupuka ovyo, hajui kujipanga, anajibu kwa jazba, alikuwa wapi muda wote mpaka aanze kuiga usemi wa JK? MMEKWISHA MWAKA HUU HAMAPATI KUINGIA iKULU NG'OOO MIAKA LAKI 8
 
Ngoma inogile. Huku ubungo Kubenea nae kasema atawataja waliobeba hela stanbic.
 
Hayo maswali uliyouliza majibu yake Ndiyo suluhisho la ufisadi?

Nchi Rais analialia, Mwananchi wa kawaida analialia!
Sasa JK alitaka Wananchi ndiyo wakamkamate muhusika wa Richmond?
Usibadili topic hapa....suala ni nani anahusika...ukitaka kuongelea suluhisho la ufisadi basi fungua thread nyingine
 
Kuna wakati Kikwete huwa anajisahau kwamba ni Rais wa nchi. Sasa ni wakati wa kuwa na Rais mtendaji ambaye si Mwenyekti wala Katibu mkuu wa chama cha siasa.
 
kama ni kujiuzulu Kikwete anastahiki kutangaza mara moja amejiuzulu ,yaani kesho ajitokeze na kutangaza ,ni aibu kuendelea kuitwa Raisi wa nchi ,kwa sababu Raisi inakuwaje alalamike kwenye majukwaa kwamba fulani anefuatana na Lissu ndie fisadi linalohusika na Richmond ,

Na Lisu nae amemjibu Kiwete kwamba yeye ndie anaemiliki dili la richmond ,raisi ameshindwa tena ameshindwa katika dakika za mwisho.

Sijui tuitishe maandamano Nchi nzima kumutaka raisi ajiuzulu kwa kuwa anajibizana kwenye majukwaa baada ya kuchukua sheria.

Tumuite Julius Malema wa EFF aje atusaidie kumwita JK kuwa ni the most criminal person in the world
 
Uko sahihi kaka/dada kwa sababu km makufuli, Nyerere aliwazawadia vimada nyumba za serikali.
WATZ WANATAKA MABADIRIKO
 
Huyo rais mbwa aliyeshindwa tuachane naye asitupotezee muda. Yeye yupo kuhakikisha anaweka mtu atayelinda maslahi yake
 
Ngoma inogile ngoja tusubiri majibu toka kwa mkulu. Halafu tutasubiri tena majibu toka pande ya pili baada ya mkulu kujibu.
Hizi campaign natamani zisiishe tuendelee kusikia mengi.
 
Wewe huna akili kweli ndugu yangu, unadhani RAIS ni kama baba yako? unaonekana hata shule hujaenda maana unakurupuka tu kama unaenda kupokea chakula cha njaa, kwani alichoksea yeye kumtaja ni nini? Lisu yeye kawakumbatia na sasa anajifanya kuwasafisha hao mapapa, kwanza amekuwa mtu wa kukurupuka ovyo, hajui kujipanga, anajibu kwa jazba, alikuwa wapi muda wote mpaka aanze kuiga usemi wa JK? MMEKWISHA MWAKA HUU HAMAPATI KUINGIA iKULU NG'OOO MIAKA LAKI 8

Mmmmmhhhh .Mungu naomba uokoe vijana wa taifa hili.akawafungue ubongo ataikiwezeka kupasua kichwa na kuweka ubongo mpya .na kutupilia mbali huu .mfano alionao huyu kijana .ubongo ulitiwa material feki ya ccm .Mungu tusaidie.na watu wote waliopo hapa waseme .Amina
 
Kweli sina akili lakini hapa hapahitaji mwevuli maana hakuna mvua ,sasa nyinyi miccm mnaojificha kwenye vigogo vya Mvumo.

Kikwete ni Mwalimu kauliza au amesema na kuwambia wananchi kuwa mhusika wa ubadhirifu wa Richmond yupo na Lissu anamfahamu kamuulizeni atawatajia ,ili iweje vyombo vya sheria vichukue hatua au sio ?

Kwa kuwa Raisi anajua Lissu ni mwanasheria mwenye uzoefu wa taaluma yake ,atamjibu na kuwafunulia WaTz ,Lissu hakungoja kuulizwa bali alitumia mikutano inayoendelea kutoa jawabu ambalo waTz wote wamelisikia kwa kumtaja aliehitajiwa kumtaja.

Natarajia kinachofuata aidha Lissu na Kikwete wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria bila ya kujali cheo kwani suala hili linawahusu waTanzania wote kwa ujumla wao.

Kikwete atoe ushahidi wa kuwa Lissu anamfahamu na Lissu atoe ushahidi wa kuwa aliemtaja ndie mhusika MKUU.

Sasa mabadiliko tu kazi baadae !
 
Rais hajajibu hoja ya Lissu. Kama Richmond ilikuwa deal feki ilikuwaje wasifutilie mbali mkataba badala ya kuurisisha kwa Dowans? Na mwenye Dowans ni nani? Ni maswali raisi sana.
 
Back
Top Bottom