Kikwete kugomea Bunge?

Kikwete kugomea Bunge?

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC02493.jpg
 
Nitafurah rais Kikwete akiwagomea nyongeza ya posho wanayotaka kwakuwa ni ufisadi uliopitiliza kwa nchi kama hii watu wanakufa kwakukosa dawa ...maji hakuna mahindi ya wakulima yanaoza...Tunakuomba rais wetu uwagomee wezi hawa ..
 
Nitafurah rais Kikwete akiwagomea nyongeza ya posho wanayotaka kwakuwa ni ufisadi uliopitiliza kwa nchi kama hii watu wanakufa kwakukosa dawa ...maji hakuna mahindi ya wakulima yanaoza...Tunakuomba rais wetu uwagomee wezi hawa ..

Hawezi kugoma wakati yeye ndio nambari one!!
 
kwani hao waliopitisha hizo pesa ni wabunge wa serikali ya nani .
 
kwani hao waliopitisha hizo pesa ni wabunge wa serikali ya nani .
Kuna kamati ya wabunge ambayo inahusisha wabunge wa upinzani na ccm. Kumbuka Bunge ni mhimili mwingine wa dola
 
jk akigoma ataonekana mnafk mana kuna ufisadi uliokomba mabilioni kipindi cha utawala wake
 
Kuna kamati ya wabunge ambayo inahusisha wabunge wa upinzani na ccm. Kumbuka Bunge ni mhimili mwingine wa dola

sawa lakini wabunge walio wengi kwenye hizo kamati ni chama gani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
jk akigoma ataonekana mnafk mana kuna ufisadi uliokomba mabilioni kipindi cha utawala wake

Pesa za Escrow hazikuwa za umma.kauli hizi zinanipa wasi wasi sana .
 
wabunge walio wengi ni chama gani kwa hiyo ccm walishindwa kupinga

Walishindwaje kutumie kile kiitikio cha kifungu hichi kimeafikiwa .....Ndiyoooooooooo.... then walio wengi wanakuwa wameshinda hata kama hicho kifungu hakina mantiki
 
sawa lakini wabunge walio wengi kwenye hizo kamati ni chama gani
Kamati ya Mafao ya watumishi ina uwakilishi sawa baina ya wabunge wa ccm na upinzani. Mwenyekiti wake ni Freeman Mbowe ambaye ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni
 
Kamati ya Mafao ya watumishi ina uwakilishi sawa baina ya wabunge wa ccm na upinzani. Mwenyekiti wake ni Freeman Mbowe ambaye ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni

hujanijibu swali langu wabunge walio wengi kwenye hizo kamati wanatoka chama gani mbona hoja za upinzani mnafanikiwa kuzizima mbona kwenye posho hajafanikiwa .
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hili ni Bomu baya sana, na UKAWA mnatakiwa kuwa makini saaana kuliko kipindi chochote kile.CCM walishachafuka machoni mwa jamii nzima ya Watanzania, na ccm tayari wameshajikatia tamaa ya kuongoza na sasa hivi hawana tena huruma kwa Watanzania hata kidogo.Wanachoangalia wao kwa sasa hivi ni Pesa tuuu.
Hivyo basi ukawa kuweni makini sana na huu upuuzi wa wana CCM unaweza ukawagharimu katika kipindi hiki cha kuelekea Kwenye Uchaguzi mkuu.
 
hujanijibu swali langu wabunge walio wengi kwenye hizo kamati wanatoka chama gani mbona hoja za upinzani mnafanikiwa kuzizima mbona kwenye posho hajafanikiwa .

dah...we jamaa uko mshabiki sana,anachojaribu kukwambia ni kwamba,wewe si unawaregard wapinzani kuwa at least wako afadhali,sasa mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu maslahi ni mbowe
 
Kamati ya Mafao ya watumishi ina uwakilishi sawa baina ya wabunge wa ccm na upinzani. Mwenyekiti wake ni Freeman Mbowe ambaye ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni

Nawachukia sana watu wenyeakili timamu wanapoamua kupotosha mambo kijinga. Mwisho wote tunaochangia tunaonekana hamnazo.
Toa ushahidi wa hiki usemacho
 
  • Thanks
Reactions: BAK
dah...we jamaa uko mshabiki sana,anachojaribu kukwambia ni kwamba,wewe si unawaregard wapinzani kuwa at least wako afadhali,sasa mwenyekiti wa kamati ya bunge kuhusu maslahi ni mbowe

wewe ndo mjinga huelewi chochote mbona ameshindwa kujibu .
 
mi naona jk asigomee,awape tu ,wabunge wetu wamefanya kazi nzuri sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom