Kikwete kugomea Bunge?

Kikwete kugomea Bunge?

napoteza muda wangu bure kushindana mwehu kama wewe .zaidi yako ni wagonjwa wenzake wa mirembe akina Lizabon na laki si pesa ndo wahuni wenzako hao unatakiwa kujadiliana .

instead of coming here in jf,whine like a spoiled brat,you should be happy,everyday that you breath a free air,instead of talking nosense
 
Last edited by a moderator:
hujanijibu swali langu wabunge walio wengi kwenye hizo kamati wanatoka chama gani mbona hoja za upinzani mnafanikiwa kuzizima mbona kwenye posho hajafanikiwa .
Zitto Zuberi Kabwe wa ACT ndio pekee anayeweza kuikataa Posho hii ya sasa na hata zijazo lakini Wabunge wote wa CHADEMA watakinga mikono upesi sana wakifuatiwa na wa NCCR, CUF & CCM
 
Kikwete hana historia ya kupinga kitu kikishatoka bungeni, wabunge waangalia maslahi lakini mkuu wa nchi alitakiwa aangalie Taifa yeye sana sana apo atakenua tu
 
Duh mbowe ndo mwenyekiti Wa kamati ya mafao ....na kapitisha wizii huu my god tumekwisha
 
ccm wanataka kuwalaghai watanzania kuwa hata ukuwa ni mafisadi kama wao, so ukawa tusijiingize huko tuwaache walipane wenyewe.
yaani mbowe au lema aache hela? thubutu. labda utakuwa unaumwa wewe. mbona akina lema wameweka wazi kuwa wamefuata pesa bungeni?
 
siasa mchezo mchafu. awe upinzan au ccm wote wanafki mbona sijaona anayepinga ongozeko.

walimu walioajiriwa maskin hawajapewa ata vi ela vya kujikimu mbunge anataka ongezeko.

dar watu wanalala njiani na barabarani nyumba zimejaa maj mbunge anataka ongezeko.
 
Wamefanya kazi nzuri kwenye lipi? Deni la Taifa sasa limefikia Trilioni 40 toka Trilioni 10 shilingi inaendelea kuanguka kwa kasi ya kutisha. Elimu DORO, matibabu DORO, maji umeme DORO, usafiri DORO, miundo mbinu DORO. Sasa hiyo kazi nzuri wameifanya kwenye lipi hasa.

mi naona jk asigomee,awape tu ,wabunge wetu wamefanya kazi nzuri sana kwa kweli.
 
ccm wanataka kuwalaghai watanzania kuwa hata ukuwa ni mafisadi kama wao, so ukawa tusijiingize huko tuwaache walipane wenyewe.


yes ukawa nao ni wachumia tumbo hukumbuki walichukua posho za bunge maalum halafu wakasepa na hawajarudisha mpaka leo sasa si ufisadi au umevaa miwani ya mbao
 
kikwete awagomee hao mafisadi wasioridhika na pesa wazipatazo,,,
 
akianane hapo hakuna mwema wote wasaliti tu....
Kikwete akiwagomea atakufa amefanya la maana sana
 
Hivi ni nini cha maana walichokifanya hawa wabunge zaidi ya kulala bungeni, kutoroka bunge, na kujirusha na machangu pamoja na kutaka kuipiga ban JF?
 
ccm wanataka kuwalaghai watanzania kuwa hata ukuwa ni mafisadi kama wao, so ukawa tusijiingize huko tuwaache walipane wenyewe.

sijui kama unajitambua kweli tangu lini ukawa wakakataa pesa nyamaza kabisa.
 
Back
Top Bottom