Akishinda Obama, JK hawezi kuenjoy kitu kwa sababu Obama wants to treat Africans as equal and expects them to be responsible na wasitegemee handout. Huyu Jaluo Jeuri atakuwa mkali sana katika kutoa misaada hasa kwa Afrika maana hana sababu za kutuonea huruma, we have to pull ourselves up by our bootstraps. Priority ya Obama alishasema is Americans. GWB alikuwa anatafuta legacy na alitaka kujionyesha as caring, unafikiri hiyo good relations ni zaidi ya few millions? Huyu Rais Kisura alie tuuuu...