Kikwete 'jino kwa jino' na Lowassa

CCm wanatapata hawaoni pa kujishka. Mwsho wao umefka. Wataparangana wote:teeth:
 
Hivi Kikwete kwanini anaogopa kuwataja mafisadi wakati anawajua mzigo anauangusha kwa wenzake huo mkutano ulikuwa wa kindfiki tu.

ndo maana mimi nikasema huyu jamaa ni mnafiki........kikubwa anakwepa lawama...ndio maana kama amesoma hapo juu anasema ''hivi ni kina nani hao mafisadi? na kwa kuwa walitajwa na msekwa basi yeye anataka kuonekana yuko salama.......kubwa alilo nalo ni unafiki tu
 
toka atoroke monduli kwa tuhuma za uongo hajabadilika........full fitina, uchonganishi,kusakizia,uongo...huyo ndo jk
 
wana jf hoja nyingi hapa ni kjadili figures badala ya issues! vyama vya siasa vinaongozwa na watu na tusijetarajia maajabu ya kitume. ccm haipo sahihi sana isipokuwa ni nafuu kimfumo kuliko vyama vilivyosalia.chaga development manifesto inazungumzia ustawi wa jina husika. mimi nafuatilia kwa karibu chaguzi ndani ya vyama hivi vya siasa kwa sababu ndipo mahali pa kujua haki na demokrasia inatendekaje kwa tunaotarajia kuwakabidhi madaraka makubwa ya kuongoza nchi! mambo huko ni ya ovyo hayafai kusimulia.kwenye bunge viongozi wamekwenda na wake zao,dada zao katika ubunge wa viti maalum nk huo ni ufisadi wa madaraka.tungetarajia kwa vyama ambavyo vimejipanga kutoa ushindani kwa ccm vionyeshe angalau ukomavu kwenye mfumo wao wa upatikanaji wa viongozi! kuongoza nchi na kukabidhiwa dola siyo kazi ya kucheza disco na kufanya matambiko!umaarufu wa hao jamaa haupo bila madaraka yawe ya chama au serikali. hata hao wapambe watawakwepa
 
wana jf hoja nyingi hapa ni kjadili figures badala ya issues! vyama vya siasa vinaongozwa na watu na tusijetarajia maajabu ya kitume. ccm haipo sahihi sana isipokuwa ni nafuu kimfumo kuliko vyama vilivyosalia.chaga development manifesto inazungumzia ustawi wa jina husika. mimi nafuatilia kwa karibu chaguzi ndani ya vyama hivi vya siasa kwa sababu ndipo mahali pa kujua haki na demokrasia inatendekaje kwa tunaotarajia kuwakabidhi madaraka makubwa ya kuongoza nchi! mambo huko ni ya ovyo hayafai kusimulia.kwenye bunge viongozi wamekwenda na wake zao,dada zao katika ubunge wa viti maalum nk huo ni ufisadi wa madaraka.tungetarajia kwa vyama ambavyo vimejipanga kutoa ushindani kwa ccm vionyeshe angalau ukomavu kwenye mfumo wao wa upatikanaji wa viongozi! kuongoza nchi na kukabidhiwa dola siyo kazi ya kucheza disco na kufanya matambiko!umaarufu wa hao jamaa haupo bila madaraka yawe ya chama au serikali. hata hao wapambe watawakwepa
Mabula ndg yangu unalidhika tuendelee na hawa mafisadi watumalize kabisa?????????Watoto wa hao mafisadi wanajenga maghorofa ya floor kumi na zaidi katika miji mbali, pamoja na kununua majumba ya nguvu maeneo kama Leicester London mitaa ya malord. Wewe huna huruma kabisa na nduguzo kuendelea kuwa hohe hahe chini ya utawala wa kifisadi huu?????????? Amka ndg hata kama umefanya research ya vyama lakini kinacho endelea Tanzania ni Mungu atuokoe. Hawa jamaa macho makavu bila aibu watutumaliza, ngoma wamerithishwa watoto mtacheza mpende msipende!!!!! Tujikomboe ndg yangu wakati ni huu!!!!!!!!!!!
 
Mbona chadema imeshashinda uchaguzi 2015?
Bado tuu hujaona ndugu?..

Dalili njema huonekana asubuhi,
chama kimetulia na watu wanatafakari jinsi ya kuongoza nchi..
Hii ndo kazi pekee iliyobaki kwa wana-CHADEMA.
TUWASHAURI VIONGOZI WETU WAWE WATU WA WANYONGE NA SI MATAJIRI KAMA CCM.

Tunampongeza Mh Godbless Lema kwa kazi anayoifanya...
Ni kwa manufaa ya watanzania wote bila kujali itikadi,rangi,jinsia,kabila wala ukanda.
Are you serious mzee?
Wale wafanyabiashara wakubwa viongozi wa CDM wanatofauti gani na RA na EL
Na je wakishinda hiyo 2015 wataacha biashara zao au ndo wataziongezea mtaji ili zifanye biashara nzuri tu na serikali?
 
ni kweli kihama chao kimefika kwani hawana hata la kujitetea. wananchi hawarudi nyuma, waache wakwaruzane.
 
Wapinzani wa Lowasa ni mapema sana kushangilia ushindi. Kama Mh. Jacob Zuma aliweza kujichomoa kwenye mashtaka yaliyosimamiwa na Raisi Thabe Mbeki na sasa ni bosi wa Thabo Mbeki hao ambao wanatuhumiwa tuu bila hata mashtaka watashindwaje kujichomoa? Siasa ni mchezo mchafu.........Nape ambaye Umoja wa Vijana na Makamba waliamua anyanganywe uanachama leo ni bosi wa hao wote walioamua anyanganywe uanachama:A S cry:
 
Hata wakionyesha wapi JK alikuwa na mkono wake na alihusika vipi haitawasaidia kitu. Mwenzao amekwisha ukwaa u-Rais. Tayari amekwisha shika Dola na nyenzo zote. Wakileta nyokonyoko, atawashikisha adabu tena kwa njia nyepesi sana, hilo lazima walikumbuke sana. Aliekutangulia huwezi kumshika tena.JK amekuwa "too smart for them", walidhani wanajua kumbe mwenzao anajua zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
hahaaa JK bwana sasa yeye mwenyewe mbona kashindwa kuwataja hao...hikli jamaa bwana sio kabisa

Eti anajifanya hawajui.................. Sasa sijui alijuwaje kuwa kuna watuhumiwa wa ufisadi ndani ya chama?? Sarakasi za CCM hizo!!
 
Hata wakionyesha wapi JK alikuwa na mkono wake na alihusika vipi haitawasaidia kitu. Mwenzao amekwisha ukwaa u-Rais. Tayari amekwisha shika Dola na nyenzo zote. Wakileta nyokonyoko, atawashikisha adabu tena kwa njia nyepesi sana, hilo lazima walikumbuke sana. Aliekutangulia huwezi kumshika tena.JK amekuwa "too smart for them", walidhani wanajua kumbe mwenzao anajua zaidi.

nakuhakikishia sio jk.......hana ujasiri huo.....msekwa alimsaidi pakubwa sana kuwataja wale jamaa watatu kwenye kikao chao.....yeye kama mwenyekiti alikuwana uwezo wa kutoa maamuzi ya kuwatimua hapo hapo.........hivi huoni kuwa hata aliyependekeza sekeretarieti ijiudhuri ni kinana na sio jk?!!!......ni pendekezo la kinana hili na yeye akasema safi sana kinana ni kweli.......ninapokwambia jk cannot and will never think beyond the next meal hwa naamanisha........amechelewa sana na tayari jua limezama wacha autwange mbichi

 
ndio maana mimi nikasema wakiamua huyu hamalizi mda wake pale magogoni..........huwezi kuwapet pet wenzako mwaka jana octoba na leo unawageuka nawao wakakubali kufa huku wakiwa uchi wa mnyama........uanze kuwavua shati,......uje vest........suruali......pajama......na uje chini wakushike kichwani halafu uwavue viatu na utoe soksi........halafu wewe ubaki salama.......leo hii ukimpafa jk hapo na ukawa nae kona atakwambia kuwa yeye alimsikiliza kinana.......na alikuwa hajui kitu.....


Sometime I try to put myself at JK's shoes and see how difficult is for him to make any decision. JK as a person anaelewa fika what is suppose to do kama rais kuhusu ufisadi lakini marafiki hao ambao ni mafisadi walimweka pale kama humanbeing just think unawezaje geuka mnyama kiasi hicho kuwatosa wenzako wakati you know mlishiriki dhambi pamoja? Yaani kisaikolojia JK is in a terrible situation kiasi hawezi kufikiri sawa sawa hajui afanye lipi maana kweli nchi inaangamia wanao angamiza ni marafiki zake sasa aamue lipi awatose marafiki ambapo naye ni mshiriki ama nchi ambayo nayo imemkodolea macho inataka afanye jambo lilowazi na linaloeleweka. Lazima hapo uwe mwendawazimu na in anycase guilty conscious lazima imsumbue sana.
 
Kwakweli JK mnafiki sana, ila mimi binafsi napenda unafiki wake kwani unasaidia kwa namna moja kuimaliza ccm na kuinua ufahamu wa watanzania, wengi sasa wanataka kuona mafisadi wakikamatwa lakini kwa jinsi jamaa alivyo wataishia kupoteza nyadhifa zao tu na hapo ujue wadanganyika kuna watakalojifunza

Nadhani kwa hili la kuizika ccm, hatimaye JeyKey atakuwa "shujaa" wangu.
Ndio legacy atakayowaachia watanzania........."kuiua ccm"
 
Mi nafikiri vita hii ya ufisadi iliharibiwa na dk slaa toka siku anatangaza majina ya mafisadi ya kwanza pale mwembe yanga, iliharibiwa kwa kuliweka jina la rais kama fisadi. Kutokana na mfumo wetu wa utawala wa nchi rais ndiye kila kitu ni alfa na omega,ndiye ili vita hii ya ufisadi ifanikiwe anatakiwa kuongoza physically vita hii. Sasa rais anashindwa kupiganisha vita hii kwa kuwa naye alitajwa, na hata ningekuwa mimi ningeshindwa hivyohivyo, nitawezaje kujichukulia hatua mwenyewe, hilo linawezekana kweli? Ilitakiwa siku ile pale mwembeyanga dk slaa asilitaje jina la rais kama fisadi ili kumpa wasaa wa kuwachukulia hatua waliotajwa,kwa kutaja jina la rais dk slaa aliharibu vita hiyo toka mwanzo, kwa kuwa akitaka kuwachukulia hatua wanamwambia mbona nawe mzee umo? inabidi mzee wa watu akae kimya. Hapo dk slaa strategy ilimshinda,na hivyo kusababisha vita kuwa ngumu,one mistake one go.
 
CCM inatakiwa kupiga hatua zaidi kwa kubadilisha sera zinazoonekaa kutoleta tija kwa wakulima na wafanyakazi.Kisiwajali zaidi wafanyabiashara eti kwa sababu inasemekana wanakifadhili chama hicho.Ifike hatua yeyote atakayethibitika ana kashfa ya rushwa hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yake bila kujali urafiki,undugu wala mchango wa mtu katika chama.
 
Na leo Chenge kwenye gazeti la Mwananchi anasema hajui kama na yeye ni gamba. Kameseji kadogo kwa dogo Nape.
 
Back
Top Bottom