Kikwete: Harakisheni sheria ya Usalama mitandaoni

Kikwete: Harakisheni sheria ya Usalama mitandaoni

Siri za serikali huvuja kwa mambo mawili, uzalendo au kutokuowa na watu makini katika serikali yenu. Mnataka kubana vyombo vya habari ili msikosolewe, sasa napata imani kwamba Bwana yule anasukumwa na walio mueka nini afanye
 
Sisi ndiyo wenye nchi, watoto wetu wanauza madawa ya kulevya, sisi tutatawala milele.
Zote hizo ni siri za nchi.
Shughuli ya Kinana ni siri ya nchi, wananchi hamtakiwi kujua.
Leo hii unammiss,unafiki bwana,!!
 
Back
Top Bottom