kamanda wa anga
Member
- Apr 7, 2012
- 47
- 55
Tangu aingie madarakani jk ameshimdwa kuongoza nchi kwa sababu:
1.watu anaowateua wote ni washikaji hivo kila waziri na wakurugenzi wanafanya wanavotaka bila kumuogopa.
2.Amekuwa kama mzazi anayewapangia kazi watoto kazi wafanye na hachukui hatua yoyote wasipofanya.
3.Haoneshi dhamira ya dhati kwani serikali yake haina mipango maalumu inayoeleweka. Mfano, bajeti ya 2011/2012 waliahidi ajira elfu 60 lkn sijui hiyo hoja imeenda wapi na mwaka wa fedha umeisha.
4.Safari za nje ni nyingi mno kana kwamba ikulu kuna kunguni. Aige mfano wa Paul Kagame wa rwanda!
5.Amekuwa mtu wa maneno mno kuliko vitendo, mara ari mpya,kasi mpya na nguvu ya ajabu, kilimo kwanza, maisha bora kwa kila mtanzania, tanzania bila ukimwi inawezekana,
6.Waziri mkuu wake ni kama kituko cha karne! Hakuwahi kuonesha chochote cha maana tangu ateuliwe. Mda wote ni mtu wa kulalamika na kulaani.
Historia itawahukumu maana kila waziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wengine wanaiba kwa kasi mpya ili 2015 wakastaafu salama. Watanzania msitegemee chochote mda uliobaki. Jiandae kwa hali ngumu zaidi!
1.watu anaowateua wote ni washikaji hivo kila waziri na wakurugenzi wanafanya wanavotaka bila kumuogopa.
2.Amekuwa kama mzazi anayewapangia kazi watoto kazi wafanye na hachukui hatua yoyote wasipofanya.
3.Haoneshi dhamira ya dhati kwani serikali yake haina mipango maalumu inayoeleweka. Mfano, bajeti ya 2011/2012 waliahidi ajira elfu 60 lkn sijui hiyo hoja imeenda wapi na mwaka wa fedha umeisha.
4.Safari za nje ni nyingi mno kana kwamba ikulu kuna kunguni. Aige mfano wa Paul Kagame wa rwanda!
5.Amekuwa mtu wa maneno mno kuliko vitendo, mara ari mpya,kasi mpya na nguvu ya ajabu, kilimo kwanza, maisha bora kwa kila mtanzania, tanzania bila ukimwi inawezekana,
6.Waziri mkuu wake ni kama kituko cha karne! Hakuwahi kuonesha chochote cha maana tangu ateuliwe. Mda wote ni mtu wa kulalamika na kulaani.
Historia itawahukumu maana kila waziri, makatibu wakuu, wakurugenzi na wengine wanaiba kwa kasi mpya ili 2015 wakastaafu salama. Watanzania msitegemee chochote mda uliobaki. Jiandae kwa hali ngumu zaidi!