'Stupid road' a shame comment! In defence of humanity this road must be built at any cost to pave way for the maasai development. For a long time these indeginous people have been denied access to modernity and left to be 'tourist attraction' idols! with the needed infrastructure in place these people will have the benefits that other citizen enjoys albeit inadequately! Saa ya Ukombozi ni Sasa.I am sick and tired of this Serengeti Highway saga. The TZ governments says they wont build it in one fora, and that they will in another.
The trans-Serengeti road does no good for TZ or the World's heritage. Tuache Uswahili. We only have one Srengeti in the world. We should not spoil it by running a stupid road across it. The southern route is way much more sensible. It will reach more people and it will protect Serengeti - kuna shida gani kulielewa hilo?
Israel wanamsubiri rais wa Tanzania ajae (lowassa) ili wapange nae mikakati zaidi, serikali ya JK ina uhusiano mkubwa na Iran haiaminiki na ndio maana wametuweka mikononi mwa kenya (hapa ni kama kenya ndio mzazi tuliowekewa atulinde, jiulize kwanini balozi kibao hazitoi Visa hapa bali ni lazima twende kenya?)kwa nini asiende Israel, kwenye technology za gali ya juu kupita china?
I am sick and tired of this Serengeti Highway saga. The TZ governments says they wont build it in one fora, and that they will in another.
The trans-Serengeti road does no good for TZ or the World's heritage. Tuache Uswahili. We only have one Srengeti in the world. We should not spoil it by running a stupid road across it. The southern route is way much more sensible. It will reach more people and it will protect Serengeti - kuna shida gani kulielewa hilo?
Hizo ndizo lugha hata wazazi wenu wanapokula kashata huzitumia.Kwenu punga kitu kikubwa sana.Hata hao mliowapa hayo majina ni fahari yenu.Mmelaaniwa sana mtajidai kuwa ushoga si tamaduni yenu hadi mwishowa dunia ila mnuishi kwa vitendo.
kama hujafuatilia postings zangu si ungeuliza tuu au rudia uweze pick?Kukusaidia tuu nimekuambia kama umbali na mpaka utakuwa si wa kuridgisha na pawe na nyingine inayopitia mpakani kabisa.Kuna uwezekano wakenya wakafany amambo tukija amka imekula kwetu.Matusi ya nini sasa.kwani ni mara ya kwanza kenya kusema waziwazi wanataka mlima, na sehemu nyingi za nchi?Mpaka wa taveta na kwingine kumekuwa ktk mogogoro miaka mingi sana tangu kipindi ch amkoloni hadi Nyerere alipozimisha.Hadi leo Wakenya nipo nao wanafanya attempt nyingi sana za kurudi claims mali za TZ.
Tatizo za story za magengeni, vijiweni na elimu za alternative to practical ndizo zinawafanya muwe kama mlivyo.Mnakaa na kina dhaifu dar mnaandika sera kama vile mnaujua utalii.Ndio maana kila kukicha mnawatia kichefuchefu watu wa utalii wa Kaskazini.Wale watu wanaujua utalii ndio maana wameendeleza nchi, na mpaka wao bado haujamegwa kama mikoa mingine.Kaskazini wanajua vyema ardhi inavyoporwa kwani ndio matatizo yaliyojaza mahakama zao.Naongea ninachokijua wala sia laternative to practical.
Alikuwa anafikiri anaongea na wajumbe wa NEC ambao hata akiongea pumba makofi yanapigwa
'Stupid road' a shame comment! In defence of humanity this road must be built at any cost to pave way for the maasai development. For a long time these indeginous people have been denied access to modernity and left to be 'tourist attraction' idols! with the needed infrastructure in place these people will have the benefits that other citizen enjoys albeit inadequately! Saa ya Ukombozi ni Sasa.
Nakerwa sana na post yako inayokosa hata chembe ya uzalendo na kuwashabikia Wakenya kwenye hili suala hadi kufikia hatua ya kusema tukijenga tu hiyo barabara eti huo ndo utakuwa mpaka wetu na Kenya kwani hatujui mipaka yetu na Kenya ipo wapi? Unaongea kama vile Kenya ni nchi yenye mabavu sana na inaweza kufanya itakavyo hapa kwetu sina uhakika kama ni sahihi kujenga hiyo barabara humo mpakani ILA TAMBUA KUWA TZ NI NCHI HURU HATUPASWI KUAMURIWA MAMBO NA MATAIFA YA NJE KAMA TUMEAMUA KUJENGA HIYO BARABARA BASI NA IWE KWASABABU TUMEONA FAIDA ZA KUIJENGA NI KUBWA KULIKO KUTOIJENGA NA TUKIACHA KUIJENGA NI KWASABABU TUMEONA HASARA NI KUBWA KULIKO FAIDA NA SIO KWASABABU WAKENYA NA MATAIFA YA ULAYA HAYATAKI TUIJENGE
Alikuwa anafikiri anaongea na wajumbe wa NEC ambao hata akiongea pumba makofi yanapigwa
Hii issue imeishaibua mijadala mingi sana, kila mtu na mtazamo wake, hadi akina Dr. Jane Goodall nae wakaingia, mwisho wa siku, mm bado nauliza, ile barabara ya Mikumi inaathiri vipi wanyama? Kama haifai pale mikumi basi hata hii ya serengeti haitafaa pia!
Nakerwa sana na post yako inayokosa hata chembe ya uzalendo na kuwashabikia Wakenya kwenye hili suala hadi kufikia hatua ya kusema tukijenga tu hiyo barabara eti huo ndo utakuwa mpaka wetu na Kenya kwani hatujui mipaka yetu na Kenya ipo wapi? Unaongea kama vile Kenya ni nchi yenye mabavu sana na inaweza kufanya itakavyo hapa kwetu sina uhakika kama ni sahihi kujenga hiyo barabara humo mpakani ILA TAMBUA KUWA TZ NI NCHI HURU HATUPASWI KUAMURIWA MAMBO NA MATAIFA YA NJE KAMA TUMEAMUA KUJENGA HIYO BARABARA BASI NA IWE KWASABABU TUMEONA FAIDA ZA KUIJENGA NI KUBWA KULIKO KUTOIJENGA NA TUKIACHA KUIJENGA NI KWASABABU TUMEONA HASARA NI KUBWA KULIKO FAIDA NA SIO KWASABABU WAKENYA NA MATAIFA YA ULAYA HAYATAKI TUIJENGE