Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 111
Hongera sana Mbelwa Kairuki.....mwezi uliopita mama mkweo kateuliwa tume ya katiba kuwa mjumbe, ikafata mkeo akawa naibu waziri na leo wewe mkuru.....Mungu yu pamoja na nyie,wenye wivu wajinuyonge
Kweli Mungu yupo pamoja nao, pigeni kazi... sio ushwahiba tu. Ndio raha ya kusoma na kujuana.