Kikwete atakumbukwa kama Ndugai

Kikwete atakumbukwa kama Ndugai

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,269
Reaction score
13,895
Tamaa ya kikwete ya ufisadi imeharibu hata mazuri aliyo wahi kufanya. Kama Ndugai wengi watasheherekea hasa baada ya haya ya CCM. Tumechoka kutawaliwa na familia na wana mitandao
 
Tamaa ya kikwete ya ufisadi imeharibu hata mazuri aliyo wahi kufanya. Kama Ndugai wengi watasheherekea hasa baada ya haya ya CCM. Tumechoka kutawaliwa na familia na wana mitandao
ndugai line lini vile
 
Tamaa ya kikwete ya ufisadi imeharibu hata mazuri aliyo wahi kufanya. Kama Ndugai wengi watasheherekea hasa baada ya haya ya CCM. Tumechoka kutawaliwa na familia na wana mitandao
Kikwete nitamkumbuka kama Baba wa ufisadi papa Tanzania na mzee mafia wa kutisha
 
Lakini je, tuna ubavu wa kuwabandua hawa wanamtandao? Au ndiyo watatupakata mpk mwisho wa dunia?


Kabisa kama hatusubirii Chadema. Acheni ujinga ujinga ku support media za machawa, kwenye kwenye chaguzi fake baki nyumbani, na kuunga mkono uongo wakati ukweli upo wazi. Yaani acheni kuwa support hawa jamaa
 
Kabisa kama hatusubirii Chadema. Acheni ujinga ujinga ku support media za machawa, kwenye kwenye chaguzi fake baki nyumbani, na kuunga mkono uongo wakati ukweli upo wazi. Yaani acheni kuwa support hawa jamaa
Wana mbinu nyingi sana hawa watu. Na njaa yetu hii, tukipewa baiskeli au pikipiki tunajikuta tunawapigia makofi.
 
Unashangilia mtu kufa ilihali ameacha generation 6 matajiri na bado familia ipo kwenye mfumo, si ajabu hata mjukuu anaweza kuja kuwaongoza wajukuu zako.

Yakwake na Mwenyezi Mungu yanabaki yakwake na Mwenyezi Mungu na hapa ndio muhimu life after death.
Sasa unaweza ukashangaa mimi nawewe hatuna generation wealthy tuliyoacha na bado tunakwenda kuchomwa kwa dhambi za uzinzi, fitina, husuda, chuki, uchawi nk.

Safarini Khartoum Sudani.
 
Back
Top Bottom