Jamaa huyu si ndie nasikia kamjengea JK pale Msoga Chalinze?
Sawa kabisa!Ingawa Subash Patel alitajwa kama fisadi papa na mzee mengi.Ikumbukwe pia Subash Patel ndiye anayejenga barabara ya msata bagamoyo kwa tsh 1.6bn per km its Most expensive road construction cost in east and central africa.Huyo ni SUBHASH PATEL siyo JEETU PATEL!
Subhash ndiye mwenye makampuni wa M M steel mzaliwa wa bagamoyo wamosoma na kikwete pamoja
Jeetu Patel ndiye fisadi aliyechota mabilioni benki kuu
Kikwete is still embracing Jeetu Patel, to the extent of gracing his fundraiser despite the recent turn of events.I wonder what message will this send to law enforcement officers who are supposed to go after somebody like Jeetu Patel.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mkewe Mama Slama Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na MaendeleoWAMA kwa kuchangia shilingi milioni moja katika mfuko wa elimu wa wilaya ya Bagamoyo wakati wa harambee iliyofanyika katika hoteli ya Movenpick jijini Dar es Salaam Ijumaa jioni.Katika Harambee hiyo zaidi ya shilingi milioni tisa zilichangwa.Katikati ni Mwenyekiti wa harambee hiyo Bwana Jeetu Patel.
Pic and caption from BongoPix
Sawa kabisa!Ingawa Subash Patel alitajwa kama fisadi papa na mzee mengi.Ikumbukwe pia Subash Patel ndiye anayejenga barabara ya msata bagamoyo kwa tsh 1.6bn per km its Most expensive road construction cost in east and central africa.
Si ndie huyu jamaa aliyewalalia UVCCM kwenye mkataba uliosainiwa na EL wa jengo lililojengwa kwenye kiwanja cha UVCCM? Nape akaja juu mpaka akapewa ukuu wa Wilaya?Huyo ni SUBHASH PATEL siyo JEETU PATEL!
Subhash ndiye mwenye makampuni wa M M steel mzaliwa wa bagamoyo wamosoma na kikwete pamoja
Jeetu Patel ndiye fisadi aliyechota mabilioni benki kuu
....Haaaa haaaa, hiyo ndiyo CCM bwana. Guys, we should stop whining, treachery and corruption are difficut to break if you are used to them. Let's organise; it is action that will save our country and not our anger and frustration!
I see.Haaaa haaaa, hiyo ndiyo CCM bwana. Guys, we should stop whining, treachery and corruption are difficut to break if you are used to them. Let's organise; it is action that will save our country and not our anger and frustration!
Jana Patel katoa 400M kwa ajili ya mchango wa ujenzHili ndiyo kaburi haswa