Rais Jakaya Kikwete, mkwea pipa maarufu, sasa amepanga kufanya state visit Afrika ya Kusini mwezi ujao (19 to 20 July 2011). Hii itakuwa ni mara ya 3 kwa Kikwete kutembelea Afrika Kusini mwaka huu.
Safari za nje za kila mara za Rais huyu mpenda kupanda ndege, zimekuwa zikiigharimu taifa mabilioni ya shilingi kutokana na kulipa gharama za usafiri za Rais na delegation yake, gharama za malazi, pamoja na posho za safari.
Mwaka huu peke yake, Kikwete ameshaenda Afrika Kusini (mara 2), Switzerland (mara 2), Egypt, Mauritania, Ethiopia, Uganda, Seychelles, Malaysia, etc. Amekaa nje ya nchi kwa zaidi ya mwezi mmoja, kama ukihesabu siku zote alizo safiri na kuzijumlisha. Kikwete anaendelea kuwa mzigo mkubwa kwa taifa na kulisababishia hasara kubwa sana zisizo lazima.
Kwa mwenendo huu, Rais wa nchi amekuwa anasafiri mara nyingi hata kumshinda Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, ambaye kazi yake ndiyo inamtaka asafiri kila mara.
Safari za nje za kila mara za Rais huyu mpenda kupanda ndege, zimekuwa zikiigharimu taifa mabilioni ya shilingi kutokana na kulipa gharama za usafiri za Rais na delegation yake, gharama za malazi, pamoja na posho za safari.
Mwaka huu peke yake, Kikwete ameshaenda Afrika Kusini (mara 2), Switzerland (mara 2), Egypt, Mauritania, Ethiopia, Uganda, Seychelles, Malaysia, etc. Amekaa nje ya nchi kwa zaidi ya mwezi mmoja, kama ukihesabu siku zote alizo safiri na kuzijumlisha. Kikwete anaendelea kuwa mzigo mkubwa kwa taifa na kulisababishia hasara kubwa sana zisizo lazima.
Kwa mwenendo huu, Rais wa nchi amekuwa anasafiri mara nyingi hata kumshinda Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, ambaye kazi yake ndiyo inamtaka asafiri kila mara.