Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!
Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa
na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na
taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga
tu.
Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.
Chadema hatutaki ubunge wa mezani, tunataka ubunge toka kwa umma
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!
Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa
na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na
taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga
tu.
Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.
jamaniii, Mwogope MUNGU wewe! kumbuka walivyopinga ile sheria ya kukusanya maoni ya katiba, walipopewa nafasi kila mmoja alijifanya kuwa alikuwa na mawazo kama yao.Vilevile hata ndani ya CCM kuna wanaopinga ule uovu uliopo lakini wanaogopa kwa vile hawakulelewa kusema ukweli, mfano mzuri uliona katika bunge lililopitaUpinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga tu. Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea kuwa tishio kwa ccm baada ya Rais kikwete kuogopa kuteua mbunge kutoka ndani ya chama hicho. Je kwa kuogopa huko ni dalili ya chama hicho kuwatishio kwa ccm?.
Bunge lilopita aliteua Jusa kutoka cuf, na cuf walikuwa chama kikuu cha upinzani.
Najua raisi anaweza kuchagua kutoka chama chochote lakini kushindwa kuteua kutoka cdm nadhani amedhihirisha kuwa cdm ni chama chenye kutishia uwepo wa ccm.
Nawasilisha
Maoni haya ni ya mlala hoi!.
haya mazingira Jk anayotengeneza yanaweza yakaleta serikali ya mseto 2015
mkuu hebu toa mfano wa jambo ambalo cdm wamewapinga ccm hali lina maslah kwa taifa,
cdm ni majembe hatutegei kuteuliwa. Tutapambana kwenye majukwaa
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea kuwa tishio kwa ccm baada ya Rais kikwete kuogopa kuteua mbunge kutoka ndani ya chama hicho. Je kwa kuogopa huko ni dalili ya chama hicho kuwatishio kwa ccm?.
Bunge lilopita aliteua Jusa kutoka cuf, na cuf walikuwa chama kikuu cha upinzani.
Najua raisi anaweza kuchagua kutoka chama chochote lakini kushindwa kuteua kutoka cdm nadhani amedhihirisha kuwa cdm ni chama chenye kutishia uwepo wa ccm.
Nawasilisha
Maoni haya ni ya mlala hoi!.
Awaogope kwa lipi? Ile mikwala ya kukesha viwanjani mpaka uchaguzi wa umeya Arusha urudiwe imeishia wapi? Kwenye Tume ya katiba Prof Baregu kateuliwa na Slaa? Wenzenu wakiteuliwa Vibaraka,nyie mkiteuliwa kimyaa!!wekeni utaratibu Rais akisafir na wabunge wenu mfahamishwe pengine hamlijui hilo!
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!
Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa
na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na
taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga
tu.
Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.
Chadema hatutaki ubunge wa mezani, tunataka ubunge toka kwa umma
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!
Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa
na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na
taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga
tu.
Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.
Sungura aliposhindwa kuzipata zabibu alisema 'sizitaki mbichi hizi'.
Jk angethubutu kuingiza mkono tu, yaani mkono wake tu, ningehama CDM siku hiyo hiyo!
Bwana Bangoo. Tanzania ukitaka kupewa cheo inabidi uwe kibaraka, mnafiki na mbabaishaji. Ukiwa mkweli na mchapa kazi huendi popote. Mifano ipo mingi ... angalia kina John Cheyo, Augustine Mrema, na James Mbatia nasikia ameteuliwa kuwa mbunge nk nk nk....