kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,309
- 17,839
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mhe James Mbatia na Daktari wa zamu wakimwangalia Mjumbe wa
Tume ya Katiba Dkt Sengondo Mvungi aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha Mifupa (MOI) leo Novemba 3, 2013
kufuatia kujeruhiwa kwake na watu wanaosadikiwa ni majambazi usiku wa Jumamos Novemba 2, 2013
Get well soon Dr. Mvungi..