Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

Mzizi wa Mbuyu

JF-Expert Member
May 15, 2009
7,309
6,739
Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

Sasa ilikuwa hivi:

Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwa wingi wakati huo huo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.

Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwa mengi mno na mazao yametapakaa mashambani akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake na pesa anachukua yeye mwenye mazo.

Aliendelea kufanya hivyo kwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha.

Sasa bwana kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! Sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu akaandika barua kwa Rais kipindi hicho JK Nyerere.

Katika barua hiyo akaandika lawama nyingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwa kuwa inavunja miiko ya uongozi na mambo mengine mengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)

Basi bwana, akamalizia mwisho kwa kujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa Rais wa nchi wakati huo!

Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.

Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni mambo yenu kayamalizeni hukohuko".

Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yake. Sasa siku moja alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.

Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia Rais!

Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! Na akafura kwa hasira yule mmasai, akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe. Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli.

Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule.

Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia, akaanza kwa kuwauliza. Jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa, watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwete.

Basi bwana, tumalizie mkasa huu

Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu.

Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga! Na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani.

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu.

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake.

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli, hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu.

Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu.
 
Du! Hii ni kali!

Ingekuwa ni sasa tungepata hiyo barua ikawa scanned na kuwekwa hapa!

Usikute Mkapa alipokuwa anasemea "wivu wa kike" alikuwa kiaina anamng'ong'a jamaa!

Kumbe hakuondoka kwa mema Monduli huyu!...nitafuatilia kisa hiki maana kuna wazee waliokuwa naye enzi hizo Monduli!
 
Hakika historia ni somo zuri sana. huyo ndiye JK tunayemjua. Asingekimbia yangemtokea puani.
 
Mzee sio Prof Mwandosya?...Malima si alishakufa au kafufuka?

Achana na Mwandosya, labda ungeeleweka vizuri ungesema Dr SalimAhmed Salim. Maana huyu (SAS)ndiye aliyepata kionjo cha ukweli cha fitna ya JK. kIpindi cha kampeni 2005 waliyalipa FEDHA baadhi ya magazeti yakatumika kumchafua sana SAS, hadi wakapandikizwa wazee kule Zenji ambao walitamka kwamba kama SAS angepitishwa kuwa mgombea, basi mUUNGANO ungeishia kipindi hicho.

Akavalishwa joho la HIZBU, na kuonekana ni adui mkubwa sana wa TANU NA ASP.

NAMKUBALI JK KWA FITNA.
 
Kwa hiyo unataka kusema hii miradi anayohodhi mkwere ni kujibu maumivu aliyokuwa anayapata kutoka kwa Sayore. Maana kama hapo nyuma kiongozi alikuwa anaruhusiwa kufanya kilimo na kuuzia jeshi kwa nini sasa hivi mkwere alipoleta RICHMOND/DOWANS kuzalisha umeme nyie watanzania mnaleta fitina?
 
Alipokuwa anaondoka ,alikutana na mwanajeshi mwenzie mfupi kuliko wote wakati huu wakimwita Pimbi wa Monduli Abruhaman Shimbo.

Na kwa kuwa walikuwa marafiki kiasi kutokana na uislam wao JK aliamua kumueleza yote yaliyomkuta ndipo hapo Shimbo akamuonea huruma sana na kumuandikia kinot mjomba wake aliyekuwa anakaa Tengeru ili amsaidie.

Basi JK alifikia Tengeru kwa mjomba wake Shimbo na hapo akapumzika siku kadhaa yule mzee alimpa nauli na JK akarudi Bagamoyo moja kwa moja kabla hajapangiwa Lindi kwenda kufanya kazi za chama. Ndio maana JK hasemi kitu kwa Shimbo analipa fadhila
 
The first widely used copy machine for offices was invented by James Watt in 1779.[3] It relied on physically transferring some of the (specially formulated) ink from an original letter or drawing to a moistened thin unsized sheet of paper by means of a press. The copy could then be read from the obverse side. The system was a commercial success and was in use in for over a century.

In 1937, Bulgarian physicist Georgi Nadjakov found that, when placed into an electric field and exposed to light, some dielectrics acquire permanent electric polarization in the exposed areas.[4] That polarization persists in the dark and is destroyed in light.

Chester Carlson
, the inventor of photocopying, was originally a patent attorney, as well as a part-time researcher and inventor. His job at the patent office in New York required him to make a large number of copies of important papers. Carlson, who was arthritic, found this to be a painful and tedious process. This motivated him to conduct experiments with photoconductivity. Carlson used his kitchen for his "electrophotography" experiments, and, in 1938, he applied for a patent for the process. He made the first photocopy using a zinc plate covered with sulfur.

The words "10-22-38 Astoria" were written on a microscope slide, which was placed on top of more sulfur and under a bright light. After the slide was removed, a mirror image of the words remained. Carlson tried to sell his invention to some companies, but failed because the process was still underdeveloped.

At the time, multiple copies were most commonly made at the point of document origination, using carbon paper or manual duplicating machines, and people did not see the need for an electronic machine. Between 1939 and 1944, Carlson was turned down by over 20 companies, including IBM and General Electric-neither of which believed there was a significant market for copiers.

In 1944, the Battelle Memorial Institute, a non-profit organization in Columbus, Ohio, contracted with Carlson to refine his new process. Over the next five years, the institute conducted experiments to improve the process of electrophotography. In 1947, Haloid Corporation (a small New York-based manufacturer and seller of photographic paper) approached Battelle to obtain a license to develop and market a copying machine based on this technology.

Haloid felt that the word "electrophotography" was too complicated and did not have good recall value. After consulting a professor of classical language at Ohio State University, Haloid and Carlson changed the name of the process to "xerography," which was derived from Greek words that meant "dry writing." Haloid called the new copier machines "Xerox Machines" and, in 1948, the word "Xerox" was trademarked. Haloid eventually changed its name to Xerox Corporation.

In 1949, Xerox Corporation introduced the first xerographic copier called the Model A.[1] Xerox became so successful that, in North America, photocopying came to be popularly known as "xeroxing." Xerox has actively fought to prevent "Xerox" from becoming a genericized trademark.

While the word "Xerox" has appeared in some dictionaries as a synonym for photocopying, Xerox Corporation typically requests that such entries be modified, and that people not use the term "Xerox" in this way. Some languages include hybrid terms, such as the widely used Polish term kserokopia ("xerocopy"), even though relatively few photocopiers are of the Xerox brand.

In the early 1950s, Radio Corporation of America (RCA) introduced a variation on the process called Electrofax, whereby images are formed directly on specially coated paper and rendered with a toner dispersed in a liquid.

During the 1960s and through the 1980s, Savin Corporation developed and sold a line of liquid-toner copiers that implemented a technology based on patents held by the company.

Prior to the widespread adoption of xerographic copiers, photo-direct copies produced by machines such as Kodak's Verifax were used. A primary obstacle associated with the pre-xerographic copying technologies was the high cost of supplies: a Verifax print required supplies costing USD $0.15 in 1969, while a Xerox print could be made for USD $0.03 including paper and labor.

At that time, Thermofax photocopying machines in libraries could make letter-sized copies for USD $0.25 or more (at a time when the minimum wage for a US worker was USD $1.65).

Xerographic copier manufacturers took advantage of a high perceived-value of the 1960s and early 1970s, and marketed paper that was "specially designed" for xerographic output. By the end of the 1970s, paper producers made xerographic "runability" one of the requirements for most of their office paper brands.

Some devices sold as photocopiers have replaced the drum-based process with inkjet or transfer film technology.
Among the key advantages of photocopiers over earlier copying technologies are their ability:

  • to use plain (untreated) office paper,
  • to implement duplex (or two-sided) printing, and
  • eventually, to sort and/or staple output.
hearsay and gossip. fotokopi monduli miaka ya 70 wadanganyika bana!
 
119 Reactions
Reply
Back
Top Bottom